Deadbody is back

Baada ya kupotea JF kwa miaka 7 hatimaye nimerudi.

Deadbody is Back
Ila tangu ile vurugu ya 29 October wengi wamepotea. JF ilifungwa na iliporudi kuipata ikawa shida. Ni juzi tu mimi ilikubali. Kibobori Mahoro alipata shida sana kwani JF ni kiburudisho chake hasa baada ya kazi.
 
Mkuu nilikuwa sio active hata hivyo.. but nilikuja mara moja na kupotea.Ukicheki kuanzia 2019 mpaka 2022 nilipotea na baada ya hizi nikapotea kwa miaka mitatu
Upo bhana 😹
2023 ulikuwa mwingi sana..!!
Hebu pitia ujionee.
 
Na wewe unaamini kweli wageni?
Hayo maparody ya wenyeji ndiomana yana guts za kutype chochote na kwa yeyote..!!

Michezo hiyo
 
Mimi WhatsApp pia siipendi ni vile lazima niwepo coz ndio michongo yangu ilipo..!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…