Deadbody is back

Niwe mkweli ni combination ya yote mawili mazingira yalisababisha hivyo na uamuzi binafsi pia

Ila sometime huwa naamua kutokuwepo mitandaoni kuanzia jioni,na ninachofanya siweki bando kwahiyo mchana natumia wifi ya ofisini halafu nikitoka tu saa kumi na moja nakuwa offline kwa style hiyo huwa natoboa nikijisikia nataka kupunguza destruction
 
Uamuzi mzuri mkuu...maana addiction ya social nerworks now a days ni kubwa mnoo.
 
Bottom line : Wewe ni upinde🌈
 
Bottom line : Wewe ni upinde🌈
Ukiwa mjinga kiasi hiki haustahili kujibiwa , ushafilisika hoja na sasa ujinga wako ushadhihirika , haya asante ndugu kizazi Nyabumbu de Scumbabag Dujeumsaengmita
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…