MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
Betty Mkwasa wamempeleka Bahi Dodoma!
Any motive? Karibu zaidi na Bunge?
Any motive? Karibu zaidi na Bunge?
Kwa mtazamo wangu, tunahitaji kuwa na package nzima ya hatua zisizo za kawaida zitakazochukuliwa kukabiliana na tatizo hili lisilo la kawaida.
Na zipo nyingi tu zinazoweza kuchukuliwa. Kwa mfano; kwa nini Kikwete asilete mabadiliko katika serikali yake kwa kui-structure upya? Hivi katika anguko hili la uchumi wa dunia ambalo athari zake zitadumu kwa zaidi ya miaka mitano, bado tunaihitaji structure hii ya sasa ya uongozi yenye mawaziri, manaibu mawazi, makatibu wakuu, manaibu makatibu wakuu, wakurugenzi, manaibu wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, ma-DED, ma-Ras nk?
Tusilaumu matokeo tulaumu fomula inayopelekea hayo matokeo.Yetu macho watu ni walewale na tabia zao zilezile,tofauti ni majina na sehemu.
Mkuu Malila,Huyu Dc aliyestaafishwa wa Mbalari aliwahi kuwachapa vibao wafugaji mbele ya wajumbe wakati wa kampeni ya kuondoa mifugo Ihefu,je naye analindwa na katiba? Kimsingi inabidi awajibike kwa kitendo alichofanya cha udhalilishaji.
JK ni fisadi na ndiyo maana anaendelea kulea mafisadi. Francis Isaac alitimuliwa UVCCM kwa tuhuma za ufisadi, bado kambeba kama alivyo na kumpa Ukuu wa Wilaya, hivi kweli huyu Rais wetu yuko serious na vita ya mafisadi? Anapeleka msg gani kwa mafisadi wengine? Kwamba endelee kufanya ufisadi mkigundulika nitawahamishia sehemu nyingine! Kaazi kweli kweli.
..................
tazama mfano Kanali Peter Madaha aliyekuwa wilaya ya nyamagana mwanza ..
Babati imepata bahati ya DC mwenye Dk kwa mara ya pili, baada ya Dr. Ibrahim Msengi. Je huyu Dk Ian J. Langiboli anayetoka Chamwino naye ni wa wa binadamu au ni wa fani gani?
Babati imepata bahati ya DC mwenye Dk kwa mara ya pili, baada ya Dr. Ibrahim Msengi. Je huyu Dk Ian J. Langiboli anayetoka Chamwino naye ni wa wa binadamu au ni wa fani gani?
Kaka Wambugani ni kweli Dr.Ian Justin Langiboli ni Daktari wa Binadamu kama ilivyo kwa Dr.Ibrahim Msengi,lakini katika mabadiliko haya Dr.Msengi hakuwa DC Babati,aliondolewa Babati kwenda Tanga Mjini July/2006....Aliyekuwa DC wa Babati wakati huu ni Mzee David Holela (amestaafishwa).Kwa pamoja Dr.Langiboli na Dr.Msengi ni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC).
Wandugu,
Nafikiri issue hapa iwe kuwa huyo mkuu aliisaidiaje wilaya kusonga mbele na isiwe majina na tittles wakati hakuna wanalofanya.
Ukuu wa Wilaya siku hizi imekuwa sehemu ya kupeleka wastaafu au watu wasio na uwezo wa madaraka ya kitaaluma serikalini. Kama akina Beti Mkwasa n.k.
Ahhh! bwana wee,kidogoX2tu kule kwenye 'Closeti' kukijaa basi wanahamishiwa kwenye 'Cabineti' kabisa.Betty Mkwasa wamempeleka Bahi Dodoma!
Any motive? Karibu zaidi na Bunge?
Hivi ni Vichekesho, Mkuu wa Wilaya(MwW) #1 anahamishiwa Wilaya #2, MwW#2 anahamia Wilaya #3, MwW#3 anahamia Wilaya#1 n.k.
Mabadiliko makubwa lakini hakuna sababu hata moja iliyotolewa kwa nini yamefanyika.
Kumuachia Kikwete kuendelea na maamuzi na utendaji mbovu bila kumuweka kiti moto, ni kukubaliana na afanyayo au kukosa vision all together.
- Hivi kuhamisha Wakuu wa Wilaya 54 nia yake ni ipi hapa, kuwafundisha Jiographia?
- Ni nani anayelipa gharama za haya mabadiliko au gharama sio issue tena Tanzania?
- Hivi wapinzani hawana la kusema kabisa katika hili zaidi ya kukodoa tu mimacho, au kwa vile hakuna exchange ya cash (ufisadi)?
- Hivi hawa Wakuu wa Wilaya 54 wameboresha kitu gani hasa huko walikotoka kinachowaruhusu kuhamishiwa wilaya nyingine?