Great Thinker
Member
- Feb 14, 2008
- 17
- 0
Huyu jamaa kutoka TRA,Chali Ubunge(CCM-Tarime) mpaka Ukuu wa Wilaya? Si Mwingine ni Bw. Christopher Ryoba Kangoye (Kwimba, Mwanza). Kweli Tanzania kila kitu kinawezekana ukizingatia pesa aliyopoteza pale Tarime kwenye mchakato wa uchaguzi Tarime, na alikuwa anakaribia kustaafu pale TRA, ngoja akapumzikie kwenye ukuu wa wilaya. Wasiwasi wangu isiwe ni sehemu ya kurudushia ile pesa yake aliyotupa kwa rushwa ili achaguliwe.