DCB bank yatoa fixed account hadi 14% kwa mwaka

DCB bank yatoa fixed account hadi 14% kwa mwaka

Ndicho nlikuwa namaanisha but uyo key point haelewi na anasema anauzoefu
Riba ni 17%

Sasa mkuu, hapo tunazungumzia tofauti ya 3%, kuna mishahara, rents, na gharama zingine za kuiendesha benki zinazotegemewa kutokea humo kwenye Interest Income, unategemea kwamba itatosha?

Najua DCB hawako vizuri kwenye forex, kwamba wangepata zaidi pia huko, sana wanategemea mikopo.

Unaweza kutuwekea hapa Financials za 2019, na za quarter ya kwanza ya 2020?
 
Sasa mkuu, hapo tunazungumzia tofauti ya 3%, kuna mishahara, rents, na gharama zingine za kuiendesha benki zinazotegemewa kutokea humo kwenye Interest Income, unategemea kwamba itatosha?

Najua DCB hawako vizuri kwenye forex, kwamba wangepata zaidi pia huko, sana wanategemea mikopo.

Unaweza kutuwekea hapa Financials za 2019, na za quarter ya kwanza ya 2020?
Kwenye matawi zinapatikana for more help check them ,but kinachofanyika kwa ufupi there a lot of product that zinakuwa segmented then zinazoleta accumulation so inaptikana income ya operation zote
 
Na hati fungate zenyewe zikoje kwa sasa?
 
Ndicho nlikuwa namaanisha but uyo key point haelewi na anasema anauzoefu
Riba ni 17%
Hapana umenielewa vibaya kwakweli kwa uzoefu wangu leo hii bank inayotoa 14% kwenye fixed ni DCB pekee yake sasa basi sisi waelewa tunapata kigugumizi kwasababu sokoni bei ni 5-8% bei ya fixed tena 100m ni 5.5%-6 mwisho
 
Kwenye matawi zinapatikana for more help check them ,but kinachofanyika kwa ufupi there a lot of product that zinakuwa segmented then zinazoleta accumulation so inaptikana income ya operation zote

Mkuu ukishakuwa mtu wa marketing, taarifa hizi unatakiwa uwe nazo around, nikisema kichwani ntakuwa nakupa majukumu zaidi.

Ila atleast summary ya faida mliyotengeneza, assets vs liability, NPL.

DCB income yake kubwa anayoitegemea ni Interest, ukiona anaanza kulazimisha FDRs kwa namna hii anza kuwaza mara mbili juu ya future yake.
 
Na hati fungate zenyewe zikoje kwa sasa?
Hati fungani kwa kingereza zinaitwa treasury bills zenyewe zinauzwa na BOT na zenyewe mnada wake huwa ni kila jumatano nahisi ya mwanzo wa mwezi hapa naweza rekebishwa na wateja wake wakubwa ni mabanks,watu binafsi na wawekezaji kutoka ndani ama nje na zimegawanyika katika za muda mfupi na mrefu na sikuzote zina Discount rate kwenye maturity
 
Mkuu ukishakuwa mtu wa marketing, taarifa hizi unatakiwa uwe nazo around, nikisema kichwani ntakuwa nakupa majukumu zaidi.

Ila atleast summary ya faida mliyotengeneza, assets vs liability, NPL.

DCM income yake kubwa anayoitegemea ni Interest, ukiona anaanza kulazimisha FDRs kwa namna hii anza kuwaza mara mbili juu ya future yake.
The future is unknown in this bank na sasa hivi market Risk iko very speculative the risk of high and lower interest haitabiliki hata juzi crdb kushusha riba yake kutoka 17%-14% ilitupa ukakasi ila tukaona alivyofanya segments tukamuelewaa
 
Kila kampuni in different industry inajaribu kutengeneza segment kwa customer na increase of market coverage ,lazima ije na mbinu ili ishindane kwenye soko, lakini mtu ana quote kwa mihemko u never learn like that a good customer hata akija lazima ataelewa taarifa zinavyokwenda the trend na vitu vyote

Mkuu sijaelewa ulichoandika hapa
 
Hati fungani kwa kingereza zinaitwa treasury bills zenyewe zinauzwa na BOT na zenyewe mnada wake huwa ni kila jumatano nahisi ya mwanzo wa mwezi hapa naweza rekebishwa na wateja wake wakubwa ni mabanks,watu binafsi na wawekezaji kutoka ndani ama nje na zimegawanyika katika za muda mfupi na mrefu na sikuzote zina Discount rate kwenye maturity
Yes. Nilichouliza ni kuhusu rates zake zikoje kwa sasa?
 
Yaah uzuri in industry na competition challenges so kuna segments ambazo hata sisi kama bank pia zinafanyia kazi ,so kila kitu kinakuwa controlled
The future is unknown in this bank na sasa hivi market Risk iko very speculative the risk of high and lower interest haitabiliki hata juzi crdb kushusha riba yake kutoka 17%-14% ilitupa ukakasi ila tukaona alivyofanya segments tukamuelewaa
 
Vyote..... Nilitaka kucompare na hizo za dcb
Iko hivi treasury bills na fixed deposits siku zote fixed deposits zinakuwa na rate ndogo sana na Risk ya fixed deposit iko juu so kwenye primary market itakuwa ni around 8%-9% kwenye bid/offer rate,naweza kukoselewa kwenye hili
 
Hii bank inashida na liability so kwa lugha ya kitalaamu kuna shida ya ukwasi so wanatafuta hela kuokoa jahazi bei ya fixed deposit kwa sasa ni 5-7%
Ahsante Sana Mkulungwa.. Maana yake hii bank inapitia kipindi kigumu Sana. Sio fursa kama inavoonekana. Inawezekana hata survival yake ni ya mashaka. Hii ni bank inayoenda kufa kuweni makini
 
Back
Top Bottom