DCB bank yatoa fixed account hadi 14% kwa mwaka

DCB bank yatoa fixed account hadi 14% kwa mwaka

Kuna local bank nyingi zina strategy iyo lkn sio kama ulizodhiorodhesha na bado zina survive tu vizuri may b unaiona DCB bank labda ni underdog local bank zipo nyingi na bado zina survive
Kwa financial Reporting standard(IFRS 9) tutashudia mergers and acquisitions zakutosha pamoja na liquidation on small banks kama DCB,ACCESS,FINCA sidhani kama wataweza kuhimili ushindani kwenye soko kwasababu walitumia approach mbaya kuingia sokoni na hii strategy ya kutoa credit facility rather kutafuta deposits zakutosha
 
Kuna local bank nyingi zina strategy iyo lkn sio kama ulizodhiorodhesha na bado zina survive tu vizuri may b unaiona DCB bank labda ni underdog local bank zipo nyingi na bado zina survive
BOT inazitaka bank zote nchini toka mwaka juzi kuandaa hesabu zake kwa kufata mtiriko na matakwa ya International Financial Reporting standards 9(IFRS9).Nini maana yake maana yake ni kwamba kwa kila Assets disbursements ya either short term ama long term lazima uweke pesa ya default rate yani kwa mkopo utakaoutoa kwenda kwa wateja basi unautolea sehem ya pesa kutoka kwenye mtaji wako hivyo basi mkopo kama hutoulipwa ndani ya mwezi mmoja tayari unaanza kuhesabiwa ni defaulted na utaanza kwenda kwa watu recovery so unaanzia bucket 0 mpka huko bucket4 write off
 
Kuna local bank nyingi zina strategy iyo lkn sio kama ulizodhiorodhesha na bado zina survive tu vizuri may b unaiona DCB bank labda ni underdog local bank zipo nyingi na bado zina survive
Huyu hajui hizi bank kipindi zinaingia zilitumia mtaji wao wenye kwenye kutoa mikopo yani Running capital sasa mtaji umeenda nje haujarudi na IFRS 9 inataka ulireport ni mkopo chechefu sasa operating capital inaliwa na mikopo isiyolipika so what is the way forward ndo wanakuja na hizi strategy za fixed wanakupa 14%😂😂
 
Kabla yakuweka hela yako yoyote ile katika uwekezaji ama amana katika tasisi za kifedha cha kwanza angalia tarifa zakifedha za tasisi husika kwa mfano kiwango cha mtaji na faida iliyopitikana kwa mwaka uliopita so hii bank ni community bank so atueleze mwaka jana imepata faida kiasi gani

DCB faida ilitokana na FX ya watalii. Watalii hakuna sasa wanahaha!
 
Hapa hatuongelei habari za Products mtu makini anayetaka kuweka fixed deposit lazima angalie bank inaperform vipi kwenye soko siwezi kuwaleta lets say 1billion wakati bank yenu haijawahi kutengeneza hata faida ya 1billion sijui unanielewa vzuri

Unabishana na sales executive. Hajui kitu huyo! Anajua tu commission huyo!
 
Unabishana na sales executive. Hajui kitu huyo! Anajua tu commission huyo!
Kuna watu huwa wanafikiri Banking ni branch operations tuu ndo kwisha banking is more on Risk management,Treasury,Finance hizi zingine ni kusadia mambo yaende ila hivyo ndo muhimili wa bank
 
Km
Unabishana na sales executive. Hajui kitu huyo! Anajua tu commission huyo!
Kuna kitu nimekiona sasa hivi baada ya tier1 banks kukazana na mambo ya Risk management na kuweka control nzuri sasa hivi fraudsters wanapiga hela kwenye Mobile network operators agents sijui mpesa,tigopesa yani watu wanapoteza hela sana
 
Mkuu inaonekna wewe ni mjuvi katika soko hili. Hiyo 5-8% ni kwa TZS ama na US$ pia?
Hivi unajua sasa hivi sokoni bei ya fixed ikoje ni kati ya 5%-8% ni hii ni bank 5billion sasa wewe 100m tuu unampa hiyo rate ya 14% ambayo ni twice the market so sisi tunapata red right kma mtaweza ku meet financial obligations kipindi hizo liability zitakavyofika maturity
 
Ofcoz uko sawa kabisa.. lakini hadi sasa bank imeshakusanya deposit na iyo product tyr ina mwaka kwenye market so unaweza usione ,izo risk management hazifanyiki lkn nikuambie kila kitu kinafanyika chief labda tu kumchunguza sana Bata hutamla ila nikuakikishie bank inasurvive na inafanya vyema changamoto zipo kila sehemu ,ndio na changamoto unazisolve
Kuna watu huwa wanafikiri Banking ni branch operations tuu ndo kwisha banking is more on Risk management,Treasury,Finance hizi zingine ni kusadia mambo yaende ila hivyo ndo muhimili wa bank
 
Sijaona nondo zako, mtu mwenyewe hata mwezi bado hujatimiza humu jf labda tu unapenda attention
Next time ukija jamii forums njoo ukiwa nondo humu kuna watu waelewa wa mambo punguza yale ma tiktok,Instagram na fatilia whats is going on kwenye career yako otherwise utapata tabu sanaa [emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu, kwa uchambuzi wako kuunganisha TIB na TPB ambayo imepata faida ya 15bn mwaka jana, kutaleta matumaini gani kwenye hiyo benki baada ya muungano?
Tanzania investment Bank kilichowaondoa sokoni ni imparements zilikuwa juu mno hivyo ikaleta tatizo la non performing loans ratio ilikuwa above 8-9% mwaka jana walipata faida ya 10M sasa investment bank yenye balance sheet ya more than 700billion inapata faida ya 10M so hapo kuna negative return on invested capital
 
Mkuu, kwa uchambuzi wako kuunganisha TIB na TPB ambayo imepata faida ya 15bn mwaka jana, kutaleta matumaini gani kwenye hiyo benki baada ya muungano?
Hapa naona combination ya mtu aliyekuwa anafanya retail na mwingine wa investment naona wataenda vizuri watakuwa na liquidity nzuri ila hofu yangu ni upande wa mikopo chechefu pamoja maslahi kwa wafanyakazi sidhani kama wataendelea kulipwa kwa scale ya TIB ambayo ilikuwa nzuri so iliwavutia watu wenye talents kwenda kwao
 
Asante kwa uchambuzi wako. Lakini mbona hao wenye talent wa TIB ndio benki yao ilikuwa haifanyi vizuri na wale wengine wa TPB wakawa wanafanya vizuri?
Hapa naona combination ya mtu aliyekuwa anafanya retail na mwingine wa investment naona wataenda vizuri watakuwa na liquidity nzuri ila hofu yangu ni upande wa mikopo chechefu pamoja maslahi kwa wafanyakazi sidhani kama wataendelea kulipwa kwa scale ya TIB ambayo ilikuwa nzuri so iliwavutia watu wenye talents kwenda kwao
 
Asante kwa uchambuzi wako. Lakini mbona hao wenye talent wa TIB ndio benki yao ilikuwa haifanyi vizuri na wale wengine wa TPB wakawa wanafanya vizuri?
Bahati mbaya sana kwenye hizi bank zetu za umma ma PEP wana nguvu so credit committee zinakoswa meno na pia followups pia kwenye credit portfolio sio nzuri
 
Back
Top Bottom