Unachukua hela kwa watu kwa Rate kubwaa ambayo ni above market ya sasa ambayo ni 5%_8% on fixed deposit then zina hela unazipeleka kwa watu kwa njia ya mikopo ambayo itakuwa ni above 14% ili upate faida sasa bank kubwa kama crdb na nmb wao wanakopesha watu kwa riba kuanzia 14%-17% nini maana yake anaekopa kwako atakopa kwa bei mbaya sana na ikifanikiwa kulipa mkopo wako atakuwa kaishafilisika na asipomaliza kulipa maana bank inakuwa inadaiwa hela na mteja na bank haina hela hii inawafanya BOT kuingia kazini na kuifunga bank so weww uliyepeleka hela izalishe kwa 14% unakuwa umepoteza hela yako na unasikini wako umeongezeka na watu kama hawa walioleta mada hana hela yake humo zaidi na Comission ambayo alikula kipindi anachukua hela kwako