DC Ole Sabaya: Majina ya wanafunzi wa vyuo na kidato cha sita watakaoripoti yafikishwe ofisini kwangu tarehe 2/6/2020 saa 4 asubuhi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,947
141,922
Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo na wale wa High schools kuhakikisha wanawasajili wanafunzi wote watakaoripoti vyuoni/shuleni tarehe 1/6/2020 kumpelekea orodha zao tarehe 2/6/2020 kabla ya saa 4 asubuhi.

Ole sabaya amesema wanafunzi watakaoripoti baada ya muda huo wasipokelewe bali waelekezwe kwenda ofisini kwake kwa hatua zaidi.

Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo/shule kutekeleza agizo la Rais Magufuli linalohusu ufunguzi wa shule kwa ufanisi mkubwa na wasiruhusu siasa kwenye taasisi wanazoziongoza.

Chanzo: Eatv habari.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo na wale wa High schools kuhakikisha wanawasajili wanafunzi wote watakaoripoti vyuoni/shuleni tarehe 1/6/2020 kumpelekea orodha zao tarehe 2/6/2020 kabla ya saa 4 asubuhi.

Ole sabaya amesema wanafunzi watakaoripoti baada ya muda huo wasipokelewe bali waelekezwe kwenda ofisini kwake kwa hatua zaidi.

Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo/shule kutekeleza agizo la Rais Magufuli linalohusu ufunguzi wa shule kwa ufanisi mkubwa na wasiruhusu siasa kwenye taasisi wanazoxiongoza.

Source Eatv habari.

Maendeleo hayana vyama!


!
!
Monkey See and Monkey Do
 
Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo na wale wa High schools kuhakikisha wanawasajili wanafunzi wote watakaoripoti vyuoni/shuleni tarehe 1/6/2020 kumpelekea orodha zao tarehe 2/6/2020 kabla ya saa 4 asubuhi.

Ole sabaya amesema wanafunzi watakaoripoti baada ya muda huo wasipokelewe bali waelekezwe kwenda ofisini kwake kwa hatua zaidi.

Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo/shule kutekeleza agizo la Rais Magufuli linalohusu ufunguzi wa shule kwa ufanisi mkubwa na wasiruhusu siasa kwenye taasisi wanazoxiongoza.

Source Eatv habari.

Maendeleo hayana vyama!
Hizi siyo dalili za malaria ya kichwa ama hii Corona kweli!
 
elimu elimu elimu,,hapo anasema waripoti kwake,then anasema wasiruhusu siasa kwenye taasisi wanazoziongoza
hapo anamaanisha tena wasiripoti kwake (wasiruhusu siasa)
Ole sabaya amewataka wakuu wa vyuo/shule kutekeleza agizo la Rais Magufuli linalohusu ufunguzi wa shule kwa ufanisi mkubwa na wasiruhusu siasa kwenye taasisi wanazoxiongoza.
huyu jamaa ana akili kweli?.....
 
Naona yeye ndio analeta siasa.
Sioni logic yake.

Huwezi kulazimisha wanafunzi wote warejee shuleni kwa wakati mmoja na huwezi kulazimisha taasisi za elimu kuwapokea wanafunzi wote pasipo kuzingatia mifumo ya ndani ya taasisi husika. Suala la kufunga chuo lilikuwa ni jambo la dharula(huwezi kujipanga) lakini jambo la kufungua shule sio dharula (ni suala la mipango)

Kuna mambo binafsi, yanamhusu mwanafunzi mmoja mmoja na kuna mambo yanavihusu vyuo pia.
 
Back
Top Bottom