findu fiki
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 431
- 67
Kutokana na kubebana sijui kama haki itafuatwa.Natamani sana huyo mama ashinde kesi yake! Ni upuuzi sana kwa dc kumdhalilisha hadharani halafu anataka kutetewa na serikali!
Kutokana na kubebana sijui kama haki itafuatwa.Natamani sana huyo mama ashinde kesi yake! Ni upuuzi sana kwa dc kumdhalilisha hadharani halafu anataka kutetewa na serikali!
Aligombea UBUNGE wa EA akakwanguliwa na Wabunge wa CCM alipata kura MMm kwa kifupi chache zaidi ya William John Malecela... Na bado akabeba CHEO CHA UKUU WA WILAYA; Tangu lini mtu aliyesomea Masomo ya Computer Science awe na Uwezo na HEKIMA ya kuendesha WILAYA bila MATUSI ??? Kubebana wanajua kuna ULAJI sehemu fulani, lazima waungane waubebe wale hizo pesa
KIONGOZI MKUU THE PRINCE...
Kuna uwezekano mkubwa ukuu wake wa wilaya ni wa chupi....napita tu jaman
Toa uzoba wako computer science ndo kigezo kwani.Mbona mtu ana phd ya dini lakini ni kiongozi wa chadema.Viroba mara nyingi mwisho wake sio mzuri
Next Gambo anahamishiwa Tunduru na kesi inakufa
tatizo la utandawazi kuleta simu zenye internet, kila mtu mjuaji wa kujibu hata mada asiyoijua.Mdau ni lini kuondoka kwenye eneo fulani hupelekea kufuta kesi?mlalamikiwa asipofika mahakama, kesi itaendeshwa kwa upande mmoja, na kutoa haki kwa upande unaohudhuria au unaolalamika.Mwache ahamishwe kama hatakula mvua kumdharlisha na kupekea kukosa hadhi kisheria kupata madaraka katika serikali kuwa kuwa mfungwa.Kesi haiwezi kufa kwa gambo kuhamishiwa tunduruNext Gambo anahamishiwa Tunduru na kesi inakufa
Bora ahamishwe kabisa.
Mkuu hapo ntakwenda kinyume na wewe kidogo, ni kweli Gumbo kafanya makosa kwa kumtukana dada wa watu lkn kusema kuwa eti mtu aliesoma masomo ya computer science eti hawezi kuwa mkuu wa wilaya nakataa kabisa.Kwani ukuu wilaya na ukuu wa mikoa au hata uwaziri na ubunge unahitaji mtu aliesomea nini.cheo serikalini hakisomewi kwa sababu cheo unapewa tu
Ndo matatizo ya kuwapa madaraka vijana ambao hata hawajamaliza balehe, kisa unataka kumkomoa Laigwanan. Ona sasa aibu yake mkuu wa wilaya ndio aibu ya aliyemteua na ndio aibu ya swahiba wa mteuliwa bw Riziwan
Aligombea UBUNGE wa EA akakwanguliwa na Wabunge wa CCM alipata kura MMm kwa kifupi chache zaidi ya William John Malecela... Na bado akabeba CHEO CHA UKUU WA WILAYA; Tangu lini mtu aliyesomea Masomo ya Computer Science awe na Uwezo na HEKIMA ya kuendesha WILAYA bila MATUSI ??? Kubebana wanajua kuna ULAJI sehemu fulani, lazima waungane waubebe wale hizo pesa
KIONGOZI MKUU THE PRINCE...
Kuna uwezekano mkubwa ukuu wake wa wilaya ni wa chupi....napita tu jaman
Itabidi pia aithibitishie mahakama kuwa degree yake si ya chupi. Na Dc itabidi athibitishie mahakama kuwa degree ya mtuhumiwa wake ni ya chupi.
Hapo uliposema ukisoma computer science unashindwa kuongoza Wilaya unakuwa umekosea sana ndugu! Eb fanya mabadiliko na ututake radhi kabla hatujakuumbua!
ndugu yangu mwisho wa kesi, Mrisho Gamba atahukumiwa kwenda jela miezi 6 au kulipa faini ya Tsh 250000.