engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Next Gambo anahamishiwa Tunduru na kesi inakufa
HAHAHAHA
Ulijuaje wewe,ndio mpango mzima utakavyokuwa
Next Gambo anahamishiwa Tunduru na kesi inakufa
HAHAHAHA
Ulijuaje wewe,ndio mpango mzima utakavyokuwa
Aligombea UBUNGE wa EA akakwanguliwa na Wabunge wa CCM alipata kura MMm kwa kifupi chache zaidi ya William John Malecela... Na bado akabeba CHEO CHA UKUU WA WILAYA; Tangu lini mtu aliyesomea Masomo ya Computer Science awe na Uwezo na HEKIMA ya kuendesha WILAYA bila MATUSI ??? Kubebana wanajua kuna ULAJI sehemu fulani, lazima waungane waubebe wale hizo pesa
KIONGOZI MKUU THE PRINCE...
Inaonyesha ni jinsi gani viongozi wa serikali wasivyokuwa na mamoja (harmony) katika kufanya shughuli za maendeleo.
Huyu kamtukana mwenzake, huyu kaenda mahakamani. Ina maana hakuna tume ya maadili ambayo inaweza kutatua huu mgogoro bila kupoteza muda wa wananchi na fedha zao?
Kuna watu wanasota mahabusu kutokana na mrundiko wa kesi halafu wanatuongezea kesi zisizo na maana tu. Halafu mabosi (sio viongozi) wao wanaangalia tu!
Huu mfumo wa utawala umeshaoza, hautakiwi kuendelea kuwepo! Hakuna nidhamu, hakuna maadili!
Ndo matatizo ya kuwapa madaraka vijana ambao hata hawajamaliza balehe, kisa unataka kumkomoa Laigwanan. Ona sasa aibu yake mkuu wa wilaya ndio aibu ya aliyemteua na ndio aibu ya swahiba wa mteuliwa bw Riziwan
Itabidi pia aithibitishie mahakama kuwa degree yake si ya chupi. Na Dc itabidi athibitishie mahakama kuwa degree ya mtuhumiwa wake ni ya chupi.
Toa uzoba wako computer science ndo kigezo kwani.Mbona mtu ana phd ya dini lakini ni kiongozi wa chadema.Viroba mara nyingi mwisho wake sio mzuri
Toa uzoba wako computer science ndo kigezo kwani.Mbona mtu ana phd ya dini lakini ni kiongozi wa chadema.Viroba mara nyingi mwisho wake sio mzuri
very well said. Na hikihiki ndicho kinachonitisha kwa vijana kukimbilia uraisi. Wengi wanaongozwa mno na hisia. Sijaona kijana yeyote kwenye siasa aliyewiva kuwa raisi so far.hawakupikwa vizuri kwa ajili ya kuongoza ndio matokeo yake hayo