Hawa watu akili hazipoMkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Anaye bisha akamuu,uze NDULI IDD AMIN anawafahamu sana askari wetu na namna walivyo mfanyia kitu mbaya.Mkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Alafu mtu kama huyu DC na wa aina yake... nikisikia gari lake limeacha njia pale Dumila nikamsaidie au nisikitike kwa kuandika R.I.P !!??Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Umesema kweliHabari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya