DC Kigamboni: Serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa Lissu

Kama serkali ifanya basi haikujipanga vizuri maana kumbe walishindwa
1. Baada ya kupelekwa hospitali ya serkali haikutuma tena watu wake kumumalizia hapo hata kwa sumu ya sindano.
Anyway Mungu nimuweza wa yote yote haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu sio utaratibu wa uongozi. Kila kiongozi akijisikia kutamka anatamka tu!

Kwanini serikali nzima ipelekwe puta na mtu mmoja as if hakuna utaratibu?

Mnampaisha TL bila kujijua wenyewe? Waheshimiwa ni bora mkae kimya, mwacheni atapike nyongo muda ukifika atanyamaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanyamazaje wakati Mhusika Mkuu ktk hii movie anataabika na kufadhaika?? Wapambe wake wanahaha kumtia moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Kila la heri Mh DC
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Huyu DC ni mchagga wa wapi?!!
 
Poleni sana lumumba fc. juhudi kubwa zinatumika kutetea jiwe na Maliyamungu bashite. Nnajitoa akili kutetea ujinga. Vip ile marufuku ya police kuvaa tshrt za pray for lisu, Vip ile police kuzuia viongoz wa dini kusoma albadili kwa wasiojulikana..Sabb hzo tu zinatosha kujiua wahusika na nani/kina nan wapo nyuma ya shambulio la TL
 
Kwani askari wanamzidi Mungu kwa uhodari?
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida nini hii serikali yetu kwani imekosa wasemaji? Yani kwa sasa ukitaka ujulikane taja jina la lisu. Wameanza makada wamechemsha waliobaki hawakuridhika wakaja viongozi waandamizi wa serikali bado waliobaki hawakuridhika na maelezo wamekuja wanaojiita wasomi bado majibu hayakutosheleza, naona rais tff nae kaingilia kati kuokoa jahazi lakini wapi.
Jana tumemsikia waziri mwenye dhamana na ile wizara lakini wapi leo DC na kaleta mchanganuo wa kwa kile anachokielewa tumemsikia. Ushauri tu ebu serikali hii habari ya lissu kuwe na mtu maalum wa kuizungumzia naona hii ni kazi ya doctor abas hawa wengine uelewa wao ni mdogo wanaharibu tu. Kuna usemi use nao miruzi mingi inampoteza mbwa'
 
amesema ukweli na ukweli ni mchungu sana naona mnavyotoka povu hapa.
Mkuu, unaonekana kama mtu wa heshima hivi, hata comments zako nyingi huwa naona kama vile unazitoa kiutani fulani hivi kiasi kwamba huwa siamini kwamba una maanisha. Lakini jinsi unavyozidi kuendelea naanza kuona kama ndivyo akili yako ilivyo. Wakati mwingine pita tu usome ili ufiche kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom