Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,984
Hata Shetani hana roho mbaya kama watu wa chama cha kijani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii hoja haina mantiki yoyote ina maana kama hizo Risasi 30 zingeondoka na uhai wa Mh Lissu,hapo ndipo Askari wangekuwa wamehusika kwa kuwa wamekamilika ki mafunzo hususan ya kulenga shabaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la viongozi wetu wanakurupuka tu hawawazi nje ya box kama ulivowaza wewe
Huyo ndio size ya Lisu sasamfupa umemushinda mwenye nyumba huyo DC ndio ataweza by the way DC ni mtu mdogo sana katika nchi na katika serikali! ni vizuri aturie asubiri majibu ya wenye serikali waje kujibu.
Mungu akiamua hata snipper atachemka.Fikiria kwa makini bila upendeleo !! Kama kweli ni serikali ni risasi moja tu ! Askari aliyedhamiria kuuwa harudii risasi ya pili .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio DC wako huyo anakujulisha uelewe serikali kumbe haikutumia askari wake bali mercenaries. Ni taarifa muhimu sana ya mrembo.kwani kuna mahali Lissu kasema amepigwa na askari wa tanzania?
Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Hivi kwa nini madc Siku hizi ni watu ambao hawana kitu kichwani!!....nonsense!Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Kule kibiti mbona walinyioshwa?Anaye bisha akamuu,uze NDULI IDD AMIN anawafahamu sana askari wetu na namna walivyo mfanyia kitu mbaya.
Atuambue ni askari gani hao wazembe.Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya
Mwambieni ajiulize wale CIA walijaribu mara ngapi kumuua Fidel Castro hadi alipo jifia mwenyewe kwa kudra za mwenyezi Mungu?Habari wanaJF,
Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu
Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.
Chanzo: Dar Mpya