DC Kigamboni: Serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa Lissu

Mh! naona kuna maagizo yameshatoka kila mtu kwa kadri ya nafasi yake lazima aweke kipambio cha kumjibu TL.
Lakini wale waliorusha ikaenda juu ikakata kona ikaenda upande kisha ikarudi ikatoboa bodi ya daladala na kumuua binti wa watu wako wapi? Walikua askari wa nchi gani?
 
Vyeo vya ch*p* hivi ni shida leteni namba tukakasugue nyapu
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Hivi kwa nini madc Siku hizi ni watu ambao hawana kitu kichwani!!....nonsense!
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Atuambue ni askari gani hao wazembe.
 
kila mtu sasa ni msemaji wa Serikali; kweli ngoma ya Lissu imeshanoga hii kila mtu anacheza kwa style yake.
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Mwambieni ajiulize wale CIA walijaribu mara ngapi kumuua Fidel Castro hadi alipo jifia mwenyewe kwa kudra za mwenyezi Mungu?
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom