DC Kigamboni: Serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa Lissu

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,395
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni

DzX3EJSX0AII_2P.jpg

DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Hawa watu akili hazipo

Hawajui Mungu aweza yote na Lissu ni uwepo wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni ndugu Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu kwa kile alichodai kuwa serikali ya Tanzania haina askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa
Anaye bisha akamuu,uze NDULI IDD AMIN anawafahamu sana askari wetu na namna walivyo mfanyia kitu mbaya.
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Alafu mtu kama huyu DC na wa aina yake... nikisikia gari lake limeacha njia pale Dumila nikamsaidie au nisikitike kwa kuandika R.I.P !!??
-Mungu utanisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanaJF,

Naona juhudi za kukanusha zinaendelea leo ameibuka Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni


DC Sarah Msafiri amekanusha madai ya kwamba serikali ndiyo ilihusika na tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu

Amedai kuwa Serikali ya Tanzania haina Askari wazembe kiasi cha kufyatua risasi zaidi ya 30 halafu wakashindwa kumuuwa.

Chanzo: Dar Mpya
Umesema kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom