DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

nahisi hapa ni kwenye lile tukio la moto juzi kati pale sinza as ilikua bara barani kabisa
 
Masikini Tanzania daaaaa
Mmezoea ma-DC wakuvaa masuti na kukaa maofisini awamu hii ya hapa kazi tu ni viongozi wa kuonyesha mifano. Ila sio kosa lenu itawachukua muda kuzoea!
 
Mwandishi wa habari wa rais nafikiri aliikuwa aitwa....Mr halahala alikatwa na panga la helicopter wakiwa huko mikoa ya kusini na kufariki, hivyo viherehere vingine ni mauti
Nakumbuka huyu bwana alikuwa anaitwa habib hala hala mwandishi wa rais mwinyi enzi hizo mungu amuweke mahala pema peponi
 
Wote walioimba wimbo ule "tuna imaaani na Lowaaasa" huenda walivuta mpunga. Wachunguzwe, tuanze na KMK

Mkuu EL ni namba nyingine, kwa Upinzani na kwa Watawala.

Ile kauli mbiu ya kupinga ufisadi tuliyokuwa nayo upinzani ilipotezwa na haipo tena!

Chama Tawala nao eti sasa ndo wanajua kuwa EL ni fisadi.
 
Ni kutokujielewa na kushindwa kuwaongoza waliochini yako. Ipo siku mkulu mwenyewe atatinga kuongoza magari na mtamsifia.
 
Mkuu, inamaana Tundu Lissu akikamatishwa ubalozi, hatutasikia tena neno "diktekta uchwara"?
Hana Shida na kazi za kujikomba. Uwakili wake unamlipa yeye na hata akipewa balozi mmoja amuweke kinyumba atamuhudumia stahili zote
 
Baada ya kukaa siku nyingi bila kusikika, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Polepole, ameamua kuingia barabarani kuongoza Magari katika foleni za Dar es salaam siku. Hapa chini ni video ikimuonesha Polepole Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akiongoza magari Sinza.

Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.

Kuigwa kwa lipi haswa au kwa vituko?
 
Baada ya kukaa siku nyingi bila kusikika, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Polepole, ameamua kuingia barabarani kuongoza Magari katika foleni za Dar es salaam siku. Hapa chini ni video ikimuonesha Polepole Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akiongoza magari Sinza.

Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.

Akivunjwa miguu au kiuno atamlaumu nani?
 
Back
Top Bottom