DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,730
Reaction score
62,942
Baada ya kukaa siku nyingi bila kusikika, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Polepole, ameamua kuingia barabarani kuongoza Magari katika foleni za Dar es salaam Usiku. Hapa chini ni video ikimuonesha Polepole Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akiongoza magari Sinza.

Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.
 
Mwandishi wa habari wa rais nafikiri aliikuwa aitwa....Mr halahala alikatwa na panga la helicopter wakiwa huko mikoa ya kusini na kufariki, hivyo viherehere vingine ni mauti
 
Mwandishi wa habari wa rais nafikiri aliikuwa aitwa....Mr halahala alikatwa na panga la helicopter wakiwa huko mikoa ya kusini na kufariki, hivyo viherehere vingine ni mauti
Alikuwa mwandishi wa Mkapa,ilikuwa Masasi kama si Nachingwea nafikiri.
 
Back
Top Bottom