figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,730
- 62,942
Baada ya kukaa siku nyingi bila kusikika, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Polepole, ameamua kuingia barabarani kuongoza Magari katika foleni za Dar es salaam Usiku. Hapa chini ni video ikimuonesha Polepole Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akiongoza magari Sinza.
Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.
Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.