DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

DC Humphrey Polepole kageuka kuwa Trafiki Dar es Salaam

Rais wetu akiwa Waziri wa Ujenzi aliwahi kuongoza Magari na watu Mbagala. Hivyo si ajabu kwa DC
pumba sana wewe.huoni kuwa polepole anaweza leta ajari 1 hana uniform anatakiwa awe havae hata nguo ambazo zinaeleweka anaweza pigwa risasi mtu akizania mwizi.


swissme
 
Alikuwa mwandishi wa Mkapa,ilikuwa Masasi kama si Nachingwea nafikiri.
Hapana, ni wa Rais Mwinyi. Ajali ilitokea mwaka 1990/1991 kwenye mafuriko huko Chipite Masasi Mkoa wa Mtwara.
 
Mmezoea ma-DC wakuvaa masuti na kukaa maofisini awamu hii ya hapa kazi tu ni viongozi wa kuonyesha mifano. Ila sio kosa lenu itawachukua muda kuzoea!
Ok,tunamwalika na mahospitalini aje awe Mfano,maana naona viongozi wA awamu hii wamesomea kila kitu!
 
Huyu itakuwa anataka kuchukua nafasi ya Makonda
 
Baada ya kukaa siku nyingi bila kusikika, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Polepole, ameamua kuingia barabarani kuongoza Magari katika foleni za Dar es salaam siku. Hapa chini ni video ikimuonesha Polepole Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akiongoza magari Sinza.

Hakika Viongozi awamu ya Tano ni mfano wa kuigwa.


Hii kweli ni balaa, jamaa naona yuko kimya, hana ofisi, hana watendaji na bado Kinondoni ndio anashikilia hilo eneo lake, hivyo katafuta tukio la kujiwekamkwenye chati tena
 
Hivi si mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya? Si trafick ya wilaya yote iko chini yake? Kwanini akaongoze magari yeye? Je anajua sheria za kuongoza magari? Hii serekali ya awamu ya tano ni serekali ambayo haina mwelekeo kabisa, baba akishapoteza mwelekeo na Watoto nao huwa hohe hahe! Nadhani anachofanya slow slow ni sawa kabisa
 
Back
Top Bottom