DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

DC Hapi atembelea ghafla hospitali ya Mwananyamala usiku

Tanzania imekua ni nchi ya maigizo tu,kila kiongozi bongo movie tutafika kwel!!
 
We acha mkuu, sukari buku mbili jero mtaani


no WOUNDER jk ......kaona asijejuta ....asubiri kidogo watu wakomae ndio awape chama .......
NAFIKIRI NI SAHIHI KABISA JPM AACHWE AIMARISHE SERIKALI NA KUKAMILISHA ....KABLA YA KUMPA NA CHAMA ...KWA AINA YA AKILI YA HYPER ALIYONAYO OF WHICH IS GOOD AT SOME POINTS...LAKINI NAAMINI KWA MADUDU YALIYOPO AKIPEWA NA CHAMA ATACHANGANYIKIWA
 
Mkuu camera muhimu sana hata juzi tulikuwa tunatoka Dodoma tukashuka Dumila kwa wachoma mahindi mabichi tukapiga picha

Hata tulivyokuwa tunatembelea soko la Tandale kuongea na wauza mchele na maharage tulikuwa na camera zetu.

Hata siku ule tulivyopanda daladala la gongolamboto tulikuwa na camera zetu unakumbuka kamanda.
 
Mkuu si wanasema siasa zimeshaisha hapa kazi tu
 
Kwa mfano hiyo net iliyotoboka hapo.. what is the wayforward?
1462402194489-jpg.344841
 
Laiti Kama hawa viongozi wangetumia muda wao kutengeza sera,mipango na taratibu za kufuatwa katika maeneo nyeti Kama haya, wasingekuwa na haja ya kutokulala usiku.
Kinondoni Ina matatizo Mengi hayawezi kwishwa kwa ziara za Ghafla.....
 
hakutumbua mtu? Maana katika spital hizi za serikali ni madudu matupu. Wagonjwa wanateseka sana kwa kutolewa huduma mbovu kwa makusudi kabisa na wahudumu.
 
Haya bana awe mwangalifu maana madaktari wanasoma miaka mingi mpaka kufikia udaktari au udaktari bingwa, sasa hivyo vyeo vya usanii vya kupewa asije kuwachezea madaktari watamnyoosha
Vyeo vya usanii Tanzania tubadilishe katiba mambo ya kuchagua MADC bila mtu kuulizwa ni sawa sawa mtu mwenye pesa anavyochagua vitumbua kwenye deli
 
namna siasa inavyotumika now na kutumia nafasi zao kuwasumbua professional kwenye kazi zao ni sheeda nilimsikia namna doctor wa mwananyamala alivyojibu jana kitaalam juu ya kauli ya makonda kwa yule mgonjwa wanasema uzembe wa madactar ila doctor kasema sio uzembe bali ni ignorance ya waliotoa taarifa ya mgomjwa ignorance ilianzia kwenye kumcare mgonjwa wa ajar ambae ametokwa na dawa muda mrefu ajapewa uduma za kutosha rc analaum madactor yule doctor aliongea kwa isia kubwa
Mi nasikitika kuona mtu analeta siasa kwenye taaluma za watu baada wangekua wanawashauri namna ya kufanya kazi kwa ufanisi na motivation wao wanaishia kutoa matamko na ziara za kustukiza natamani madaktari wagome watu waone wakuu wa mikoa na wilaya watawasaindia nn?
 
Alienda na mpiga picha maalum,ha ha ha ha haaaaaaaaaa
 
Mkuu camera muhimu sana hata juzi tulikuwa tunatoka Dodoma tukashuka Dumila kwa wachoma mahindi mabichi tukapiga picha.

Hata tulivyokuwa tunatembelea soko la Tandale kuongea na wauza mchele na maharage tulikuwa na camera zetu.

Hata siku ule tulivyopanda daladala la gongolamboto tulikuwa na camera zetu unakumbuka kamanda.
Wewe unaleta masihara kwa mambo ya muhimu. DC hapaswi kufanya mambo ya sifa za siasa katika utendaji wa kazi za serikali. Ndio maana huwezi kumkuta Magu kaenda pale Bandarini au Muhimbili akapiga pushup au kucheza mapanga shaa.
Hapi sijui nani hawapaswi kuchezea profesheno na watu hasa madaktari kwa kutoka zao club kwenye mapombe na kujifanya wanakagua wanafanyaje kazi. Hata aliyewapa hizo kazi naye atashtuka kuwa wanamuingiza mjini
 
Mkuu camera muhimu sana hata juzi tulikuwa tunatoka Dodoma tukashuka Dumila kwa wachoma mahindi mabichi tukapiga picha.

Hata tulivyokuwa tunatembelea soko la Tandale kuongea na wauza mchele na maharage tulikuwa na camera zetu.

Hata siku ule tulivyopanda daladala la gongolamboto tulikuwa na camera zetu unakumbuka kamanda.

Huyo aliyefanya hivyo si ni mwanaccm aliyekwenda upinzani kutaka madaraka? Hizo tabia asili yake inafahamika ni chama gani.
 
BAADA YA HAYA YOTE KIPI KIMEFANYIKA MAANA MAPUNGUFU KAYAKUTA MENGI je kayatatua?
 
Hizi Ziara za kushtukiza sioni kama zina tija zaidi ya kuleta sifa. Akishamaliza hapo mambo yanaendelea kama kawaida.
 
namna siasa inavyotumika now na kutumia nafasi zao kuwasumbua professional kwenye kazi zao ni sheeda nilimsikia namna doctor wa mwananyamala alivyojibu jana kitaalam juu ya kauli ya makonda kwa yule mgonjwa wanasema uzembe wa madactar ila doctor kasema sio uzembe bali ni ignorance ya waliotoa taarifa ya mgomjwa ignorance ilianzia kwenye kumcare mgonjwa wa ajar ambae ametokwa na dawa muda mrefu ajapewa uduma za kutosha rc analaum madactor yule doctor aliongea kwa isia kubwa

Mmmh, ndugu yangu, mbona umeandika sentesi ndefu hivi, isiyo na koma, nukta wala kituo?
 
Back
Top Bottom