DC ana kosa gani?Huyo DC ni wa kufukuza kazi kabisa, sijui anajiona nani
DC hana mafungu kama aliyo nayo DED na kote Ma DC hata wawe wakali vipi kwa ma DED wananywea.Pia je ikiwa ni DED ni afisa kipenyo?Huyo Mkurugenzi mpuuzi,
Kwanza inakuwaje DC anamuombea radhi?,tunafahamu Dc ni Mkuu wake kikazi,
Ila haiko hivyo technically speaking,wote wanareport kwa rais,
Maana yake,kaombwa aombe radhi,kagoma
Labda ziwa Nyasa kwa akina Kinanasi!Mkurugenzi ni mtu wa Kanda ya Ziwa na anatoka katika lile kabila "tukufu" kwa awamu hii.....
Mwakabibi atavuna anachopandaBasi muombee wewe msamaha kaka yako ded!
Huyo DED Mwakibibi amekuwa mtoto mpaka aombewe radhi...hii si radhi..Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.
Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.
Source ITV.
cc: Erythrocyte, Gentamycine
Maendeleo hayana vyama!
Huyu baba dharau ni asili alinionesha dharau simsahau!!
Ndio wateule wetu hao wamefanyiwa vetting na kupewa dhamana na mamlaka ya uteuziHuyo Mkurugenzi mpuuzi,
Kwanza inakuwaje DC anamuombea radhi?,tunafahamu Dc ni Mkuu wake kikazi,
Ila haiko hivyo technically speaking,wote wanareport kwa rais,
Maana yake,kaombwa aombe radhi,kagoma
Shangaa wewe...DC ana kosa gani?
Woiii huyo DED wa TEMEKE kama ni yule yule niliyemkutaga basi pimbi kweli. Kajamaa kanajiskia sana af anapenda kujimwambafy
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Mwakibibi!Woiii huyo DED wa TEMEKE kama ni yule yule niliyemkutaga basi pimbi kweli. Kajamaa kanajiskia sana af anapenda kujimwambafy
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ninaposkia MATAGA haya ndio MATAGA yenyewe au
Make Tarime Great Again!Mataga ni makitu gani?