BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Yap
Kufanua search ya kiwanja ni simple sana
Na huokoa mengi
Kufanua search ya kiwanja ni simple sana
Na huokoa mengi
Mungu anisamehe sijui kwanini nimekuwa nikiona sana makosa ya kiuandishi unayoyafanya Na kujenga hoja zisizoeleweka kuliko Yale muhimu unayotaka wasilishaInabidi elimu ya haya yafanyike kila mara kuelimisha wananchi..
Hata matangazo ya redioni kila baada ya muda fulanibtatasaidia tena nchi nzima.. na mengine mengi
Vipi wale waliobomolewa nyumba na serikali wakati kulikuwa na zuio halali la mahakama hukuumizwa sana??huyo dc mbona hatukumuona kwenda kuwatete....hizi kiki za kipumbavu sanaHongera sana Mhe. DC hakika kiongozi unefanya jambo la hekima mno. Tilioshuhudia ile clip ya huo uvunjaji na taswira ya nyumba yenyewe hakika tuliimizwa sana. Mungu akupe nguvu daima
Umemsaidia au umemrudisha nyuma kimaendeleo? Acha unafiki.Kuna chama fulani hata hili la mtu kusaidiwa roho zinawaumaaaaa. Yaani Watanzania sjui tumekuaje
Wale hawakumpigia kura. Naona mandojo atakuwa mwanaccm.Na wale waliobomolewa Ubungo vp? au sio mastaa?
Kipindi mnaenda kubomoa mnatoa notes kwa wote. Nimeangalia taarifa ya habari hata Mandojo hajawahi kuitwa na pia kuna kikao kimewekwa baada ya kubomolewa lkn wahusika hawajatokea.Inabidi elimu ya haya yafanyike kila mara kuelimisha wananchi..
Hata matangazo ya redioni kila baada ya muda fulanibtatasaidia tena nchi nzima.. na mengine mengi
Hapo chachaWangapi waliopatwa na mikasa kama hiyo aliwaita ofisini kwake kama huyo msanii?