Mkuu wa wilaya ya Nkasi , Idd Kimanta akiangua kilio jana akisikitikia na kuona uchungu utendaji wa ovyo wa Mkurugenzi na wakuu wa idara ya halmashauri hiyo mbele ya baraza la madiwani mjini Namanyere kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Nkasi , Saada Mwaruka.
Mkuu wa wilaya ya Nkasi, Idd Kimanta akiangua kilio jana akisikitikia na kuona uchunugu utendaji wa ovyo wa Mkurugenzi na wakuu wa idara ya halmashauri hiyo mbele ya baraza la madiwani mjini Namanyere. (Picha zote na Walter Mguluchuma)
Blogzamikoa
blogszamikoa.blogspot.com
Huenda anajua kuwa kwa utendaji kazi mbaya wa hao maofisa wake kibarua chake kiko mashakani ingawa anaweza kuwa ni design ya babake mkubwa wa kuangua vilio bungeni kutetea U-PM