Gwakisa Mwandule
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 521
- 185
Huyu DED alikua afisa mipango rufiji na ni mtu makini sana ila katika kazi kuna mambo yanapinda na kusanuka palepale sasa kama mtu analia kwa ajili yake sijui kimetokea niniKuna mtu aliniambia huyo DED ni mtendaji mzuri sana.Mwenye ufahamu zaidi atujulishe