Ha ha ha ha ha ha! Jimama la kiswahili hilo lililofanikiwa kupambana na mifumo kibao kandamizi. Hongera mama, umejiwezesha mweyewe hukusubiri kuwezeshwa ila ndio hivyo tena ukifanya mchezo utanyea debe.mama uso mkavu hana hata aibu kwa uozo alioufanya.!
Kumbe ni kawaida ya haya majamaa kulia lia hovyo?Hapa anamuiga mizengwe mpindo alipoangua kilio mjengoni akiunusuru u pm,liwalo na liwe!!!Pole mkuu, siku nyingine USILIE bali uchukue hatua kulingana na ofisi yako, DC mzima unalia?? Hao wananchi wako wafanyeje??. Hujui kuwa ukilia mbele ya waliochini yako ni kuonyesha kuwa wee ni DHAIFU?? Wee mgeni nchi hii.?? Ukome kulialia ovyo, ama uwe unalia huku unachukua hatua zipasazo. POLEN WANANKASI.
Pinda keshawaambukiza tayari!
mama uso mkavu hana hata aibu kwa uozo alioufanya.!
Yaani hii ni falacy (kushindwa kujenga hoja), badala ya kutatua matatizo yeye anaapeal kwenye argumentum ad misericordium? watu wa namna hii hawafai kabisa. We una executive power, yet you fail to execute it and end up crying? Angepaswa kuchapwa viboko huyu! Hapo kwanza kikao hakiwezi kuendelea! Yale yale ya kulilia wauwaji albino wakati una mamlaka ya kuamirisha hatua hali za dharura!