Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

Day 5: Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

Makumbele

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2009
Posts
241
Reaction score
1,056
Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar

1) Kuna barriers kila sehemu, ukipita lazima uwe na ID to verify your identity. Ni Polisi na Wanajeshi

2) Bolt ukimwita akupeleke Airport tokea maeneo ya Sinza, anataka LAKI 2 au zaidi

3) Ukiwa unaenda Airport, lazima ueleze unaenda wapi na kufanya nini. Mabegi yanakaguliwa ndani kuna nini

4) Ukiwa unasafiri nje ya nchi na ndege yako ni 3am (nyingi ndo muda zinaondoka), lazima uwe umefika Airport saa 11 jioni (siku ya awali), na utalala uwanja wa ndege hadi safari yako ifike. Wageni toka ng’ambo wanaoingia nchini, wanalazimika kulala uwanjani hadi ifike 6am ndo waweze kutoka; pia watakutana na kadhia za kukaguliwa kila barrier

5) Hali ya chakula mtaani ni shida maana hakuna mzunguko wa biashara

6) Vituo vya Mafuta havifanyi kazi, lita ya mafuta ya Petroli ukiipata kwa magendo ni TZS 15,000/- hadi 20,000/-

7) Kuna watu wanapita mtaani (wamevaa kiraia) wanafuatilia maduka yenye CCTV wakitaka kufutwa footages.

Mengine mtaongeza wakuu
 
Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar

1) Kuna barriers kila sehemu, ukipita lazima uwe na ID to verify your identity. Ni Polisi na Wanajeshi

2) Bolt ukimwita akupeleke Airport tokea maeneo ya Sinza, anataka LAKI 2 au zaidi

3) Ukiwa unaenda Airport, lazima ueleze unaenda wapi na kufanya nini. Mabegi yanakaguliwa ndani kuna nini

4) Ukiwa unasafiri nje ya nchi na ndege yako ni 3am (nyingi ndo muda zinaondoka), lazima uwe umefika Airport saa 11 jioni (siku ya awali), na utalala uwanja wa ndege hadi safari yako ifike. Wageni toka ng’ambo wanaoingia nchini, wanalazimika kulala uwanjani hadi ifike 6am ndo waweze kutoka; pia watakutana na kadhia za kukaguliwa kila barrier

5) Hali ya chakula mtaani ni shida maana hakuna mzunguko wa biashara

6) Vituo vya Mafuta havifanyi kazi, lita ya mafuta ya Petroli ukiipata kwa magendo ni TZS 15,000/- hadi 20,000/-

7) Kuna watu wanapita mtaani (wamevaa kiraia) wanafuatilia maduka yenye CCTV wakitaka kufutwa footages.

Mengine mtaongeza wakuu
Nonsense..!
 
Kwa hizi video za maiti mitaani namuonea huruma sana samia.

Kiburi chake ndo kimemfikisha huku. Mifumo na Taasisi za nchi kukubali kukitumikia chama cha mapinduzi badala maslahi ya Taifa ndo kumewafikisha huku.

Ni suala la muda tu. Ama atauliwa au kufanywa kitu kibaya sana. Wananchi wote hawamtaki. Jeshi halimtaki.

Kuua Watanganyika kwa kutumia waganda na wazanzibari na ndo kosa ambalo yeye, familia yake, machawa wake na wazanzibari wote watalijutia milele na milele
 
Kwa hizi video za maiti mitaani namuonea huruma sana samia.

Kiburi chake ndo kimemfikisha huku. Mifumo na Taasisi za nchi kukubali kukitumikia chama cha mapinduzi badala maslahi ya Taifa ndo kumewafikisha huku.

Ni suala la muda tu. Ama atauliwa au kufanywa kitu kibaya sana. Wananchi wote hawamtaki. Jeshi halimtaki.

Kuua Watabganyika kwa kutumia waganda na wazanzibari na waganda ndo kosa ambalo yeye, familia yake, machawa wake na wazanzibari wote watalijutia milele na milele
Kuhusu jeshi sahau na tengua kauli yako. Kulitegemea jeshi tena ni kupoteza muda na ni matumizi mabaya ya akili.
 
Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar

1) Kuna barriers kila sehemu, ukipita lazima uwe na ID to verify your identity. Ni Polisi na Wanajeshi

2) Bolt ukimwita akupeleke Airport tokea maeneo ya Sinza, anataka LAKI 2 au zaidi

3) Ukiwa unaenda Airport, lazima ueleze unaenda wapi na kufanya nini. Mabegi yanakaguliwa ndani kuna nini

4) Ukiwa unasafiri nje ya nchi na ndege yako ni 3am (nyingi ndo muda zinaondoka), lazima uwe umefika Airport saa 11 jioni (siku ya awali), na utalala uwanja wa ndege hadi safari yako ifike. Wageni toka ng’ambo wanaoingia nchini, wanalazimika kulala uwanjani hadi ifike 6am ndo waweze kutoka; pia watakutana na kadhia za kukaguliwa kila barrier

5) Hali ya chakula mtaani ni shida maana hakuna mzunguko wa biashara

6) Vituo vya Mafuta havifanyi kazi, lita ya mafuta ya Petroli ukiipata kwa magendo ni TZS 15,000/- hadi 20,000/-

7) Kuna watu wanapita mtaani (wamevaa kiraia) wanafuatilia maduka yenye CCTV wakitaka kufutwa footages.

Mengine mtaongeza wakuu
Mambo mazITO
 
Kuhusu jeshi sahau na tengua kauli yako. Kulitegemea jeshi tena ni kupoteza muda na ni matumizi mabaya ya akili.

Ni suala la muda tu.

Hata maandamano kuna watu walidharau kuwa Watanzania ni waoga hawawezi kuandamana leo kiko wapi?

Kama kuna wakubwa Jeshini wanamlinda Samia na uovu wake nawaonea huruma. Wanaweza kuuuliwa na kugeukwa na hasira za wanajeshi zitamalizikia kwa Samia na watu wake wote bila kusahau CCM.

Ni suala la muda tu na haiko mbali hii.
 
Ni suala la muda tu.

Hata maandamano kuna watu walidharau kuwa Watanzania ni waoga hawawezi kuandamana leo kiko wapi?

Kama kuna wakubwa Jeshini wanamlinda Samia na uovu wake nawaonea huruma. Wanaweza kuuuliwa na kugeukwa na hasira za wanajeshi zitamalizikia kwa Samia na watu wake wote bila kusahau CCM.

Ni suala la muda tu na haiko mbali hii.
Vipi maandamano yameisha kwa Sasà hapo Dar
 
Ni suala la muda tu.

Hata maandamano kuna watu walidharau kuwa Watanzania ni waoga hawawezi kuandamana leo kiko wapi?

Kama kuna wakubwa Jeshini wanamlinda Samia na uovu wake nawaonea huruma. Wanaweza kuuuliwa na kugeukwa na hasira za wanajeshi zitamalizikia kwa Samia na watu wake wote bila kusahau CCM.

Ni suala la muda tu na haiko mbali hii.
Kilichoshindikana trh 29,30 & 31 nini njia ilikuwa nyeupee kabisa chini ya uungwaji wa 100% na wananchi?

Ebu tuacheni mara moja kujipa matumaini paspo na matumaini.

Kama kuna njia nyingine tofauti na kulitegemea jeshi hiyo njia ndo itumike lakini si jeshi.

Jeshi lililo ruhusu kuingiza mamluki kuja kutuua ndo serious kabisa ulitegemee ni upungufu wa akili au nini ?
 
Kwa upande wa kupata msaada wakijeahi ni pale tu jeshi likubali kufanya UASI na siyo vinginevyo, hadi sasa Jeshi limefanya ufala wakiwango cha juu sana na wamepoteza credibility zote za kuonekana kama ni taasisi pekee yenye kufaa kuheshimiwa .
 
Kwa hizi video za maiti mitaani namuonea huruma sana samia.

Kiburi chake ndo kimemfikisha huku. Mifumo na Taasisi za nchi kukubali kukitumikia chama cha mapinduzi badala maslahi ya Taifa ndo kumewafikisha huku.

Ni suala la muda tu. Ama atauliwa au kufanywa kitu kibaya sana. Wananchi wote hawamtaki. Jeshi halimtaki.

Kuua Watabganyika kwa kutumia waganda na wazanzibari na waganda ndo kosa ambalo yeye, familia yake, machawa wake na wazanzibari wote watalijutia milele na milele
Wewe kumbe ninpunguwani . Nilikuambia Raisi ataapishwa na ukasema ameshakimbia nchi .. Yale si.maandamano ule ninubalifu na wewe uliuchochea na kuwaambia watu wachome sheli na na Mali za watu... Karibuni TENA. Mkifa milioni tutabaki milion 63.
Na hao viongozi wenu w CHADOMo na Kabisa katoliki tunawajua walifanyankikutanonku.mobioize watu kufanya uharibifu . Waambie watafute nchi ya Kwenye Kwa kupitia.panya road za kitaani watapoteamoja baada ya mmoja. Kwa ajali, kuwaka Moto Kwa hyumba zao au Kwa maradhi yasijulikana .. mark my word!
 
Wewe kumbe ninpunguwani . Nilikuambia Raisi ataapishwa na ukasema ameshakimbia nchi .. Yale si.maandamano ule ninubalifu na wewe uliuchochea na kuwaambia watu wachome sheli na na Mali za watu... Karibuni TENA. Mkifa milioni tutabaki milion 63.
Na hao viongozi wenu w CHADOMo na Kabisa katoliki tunawajua walifanyankikutanonku.mobioize watu kufanya uharibifu . Waambie watafute nchi ya Kwenye Kwa kupitia.panya road za kitaani watapoteamoja baada ya mmoja. Kwa ajali, kuwaka Moto Kwa hyumba zao au Kwa maradhi yasijulikana .. mark my word!
Samia hawezi kuongoza Tanzania hatamaliza acheni kuendelea kuua watu hivi viburi viwaishe yale maandamano liwe somo kwenu mkindeleza kiburi Mungu atawangamiza zaidi hamna hati miliki ya kutawala Tanzania yule alietabiri kuwa kutakuwa na civil unrest na maandamano ametabiri tena kuwa samia hataongoza ataishia ICC kwa hiyo na nyie jipangeni badala ya kuendeleza vitisho
 
Kwa hizi video za maiti mitaani namuonea huruma sana samia.

Kiburi chake ndo kimemfikisha huku. Mifumo na Taasisi za nchi kukubali kukitumikia chama cha mapinduzi badala maslahi ya Taifa ndo kumewafikisha huku.

Ni suala la muda tu. Ama atauliwa au kufanywa kitu kibaya sana. Wananchi wote hawamtaki. Jeshi halimtaki.

Kuua Watabganyika kwa kutumia waganda na wazanzibari na waganda ndo kosa ambalo yeye, familia yake, machawa wake na wazanzibari wote watalijutia milele na milele
Haya aliyoyafanya Samia ni hatari sana hasa kwa Wazanzibar. Kwa kiasi kikubwa Zanzibar inaitegemea Tanganyika kwa karibu kila kitu. Wazanzibari wapo milioni tatu Tanganyika. Wana biashara, mashamba, makazi Tanganyika. Wamejaa kwenye ajira serikalini.

Watanganyika wakiamua kulipiza kwa kuanza kuwasalimia Wazanzibar walioko Tanganyika wakipita nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa, kijiji kwa kijiji Zanzibar haitabaki salama.

Samia anatengeneza vita kubwa mbaya kati ya makundi tofauti ya Tanzania.
 
Hongereni Sana jeshi letubtukufu na polisi kudhibiti uhalifu unafanya na wachache🙏
 
Samia hawezi kuongoza Tanzania hatamaliza acheni kuendelea kuua watu hivi viburi viwaishe yale maandamano liwe somo kwenu mkindeleza kiburi Mungu atawangamiza zaidi hamna hati miliki ya kutawala Tanzania yule alietabiri kuwa kutakuwa na civil unrest na maandamano ametabiri tena kuwa samia hataongoza ataishia ICC kwa hiyo na nyie jipangeni badala ya kuendeleza vitisho
Nakupa hui ndiyo ukweli... Ule si utabiri.. wale ni wapangani. Kuna baadahi ya makanisha wame mobilize hiyo kitu so called maandamano... Na tunawajua pls waambie waanze kuonoka nchi Kwa panta road wataanza kupotean mmoja baada ya mmoja... Sulphuric acid Haina expire date.. si nyinyi mlisema mtakinukisha Sana na Sisi tunasafisha ule uozo unaeta harufu chafu...

Samia is here to stay Kwa Miaka 5
 
Nakupa hui ndiyo ukweli... Ule si utabiri.. wale ni wapangani. Kuna baadahi ya makanisha wame mobilize hiyo kitu so called maandamano... Na tunawajua pls waambie waanze kuonoka nchi Kwa panta road wataanza kupotean mmoja baada ya mmoja... Sulphuric acid Haina expire date.. si nyinyi mlisema mtakinukisha Sana na Sisi tunasafisha ule uozo unaeta harufu chafu...

Samia is here to stay Kwa Miaka 5
Hawezi labda kama Mungu mbinguni hayupo mumeua sana vijana CCM ni kikundi cha wahuni sio chama tena
 
Back
Top Bottom