Dawati la msaada kwa Sony Xperia

Dawati la msaada kwa Sony Xperia

hata mimi natumia xperia Z ila ina tatizo la kutopata picha nzur wakat wa usiku, ila kwa mchana zinakuwa poa mno. na hilo tazto ni since dy 1 nimenunua. msaada tafadhar..
 
je madhara ya ku-unstall update za playstore service ni yapi??? ili nisije solve tatizo 1 nikaongeza mengine 1oo.
 
Wakuu nina Xperia t2 ultra dual, nimeiupdate kwenda lollipop.. (5.0.2),lakini imekuwa nzito mno,alafu inastuck mara kwa mara,ushauri tafadhali,pia kama hujaupdate ni bora usubiri kwanza.
 
Wakuu nina Xperia t2 ultra dual, nimeiupdate kwenda lollipop.. (5.0.2),lakini imekuwa nzito mno,alafu inastuck mara kwa mara,ushauri tafadhali,pia kama hujaupdate ni bora usubiri kwanza.

Da ni tatizo gani hilo aisee mbna mie natumia hiyo lollipop mwezi wa tatu sa hv , sjawahi ona simu ikiwa na tatizo kama hilo kabisa. Zaid simu imeongeza u smoothy
 
Da ni tatizo gani hilo aisee mbna mie natumia hiyo lollipop mwezi wa tatu sa hv , sjawahi ona simu ikiwa na tatizo kama hilo kabisa. Zaid simu imeongeza u smoothy

Baada ya maelezo yako imebidi nianze ktoa baadhi ya app,nilikuwa nimeinstall hola launcher baada ya kuitoa simu imekuwa smooth bila shida yoyote.
 
Naomba msaada z 3 compact yangu imepasuka kioo,,touch haifanyi kazi na nilijaribu kutafuta madukAni nikaambiwa hakuna.
 
Naomba msaada z3 compact yangu imepasuka kioo hivyo touch haifanyi kazi,,wakati huo yaani mwezi wa nne niliambiwa spare hazipatikani. Je sasa hali ikoje na gharama zake? Natanguliza shukrani.
 
natumia xperia Z ila ina tatizo la kutopata picha nzur wakat wa usiku, ila kwa mchana zinakuwa poa mno. na hilo tazto ni since dy 1 nimenunua. msaada tafadhar..
 
Sony washaanza ku update simu zao kutoka lollipop 5.0.2 to 5.1 hii ni update ambayo inaborsha muonekano na kurahisisha baadhi ya setting za simu.

Tayar xperia z2 na z3 zishaanza kupata upfates hizo, so wanafamilia waitini kitu kinawajia na nyie wengine wa z,z1,t2,n.k
 
Back
Top Bottom