Dawati la msaada kwa Sony Xperia

Dawati la msaada kwa Sony Xperia

Ebu nipe specification zake.. Na inavyoonekana ipige picha usiwe ya kichina.. ni PM
Specification zake ni zile zile zinazoelezewa kwenye mtandao wa SONY. Na picha vile vile. Baadhi ni kwamba haiingii maji. Pia kamera yake ina ki button chake maalum pembeni huna haja ya kufungua simu kutafuta screen yenye app ya kupigia picha, by the time unapiga picha tukio lishatokea, picha huna. Pia ina megapixels 20.1

Kingine cha muhimu, kuliko vyote labda, kwa mazingira ya umeme mgogoro wa TANESCO, simu hii inakaa na charge kuliko simu zote duniani kwa sasa, kwa maelezo ya baadhi ya reviewers. Hukosi service eti chaji imeisha katikati ya siku.

Kuhusu uchina na ufeki nadhani tukiitumbukiza ndani ya maji itakuwa the best test. Kwa sababu sidhani kama Mchina atatengeneza simu feki ambayo haiingii maji . Kwa hiyo we njoo na chupa la Uhai, mi ntakua na kibeseni tutaiwashia kwenye maji tuipotezee kwa muda uliokuwa nao wewe kama itazima. Lakini kama una ma test yako mengine ya kimaufundi zaidi itakuwa bora pia. Kaa huna utaalam wowote hujui ya ukweli wala ya ufamba basi ukipenda chukua simu ukigundua feki rudi uchukue helaako.
 
Mkuu natumia Sony experia Z1 aina ya C6902 tatizo nikipiga picha wakati wa giza picha haivutii inakuwa na kama wingu hivi au moshi. Nimejaribu kuset auto n.k ila bado yagoma
 
Mkuu natumia Sony experia Z1 aina ya C6902 tatizo nikipiga picha wakati wa giza picha haivutii inakuwa na kama wingu hivi au moshi. Nimejaribu kuset auto n.k ila bado yagoma

Simu za Xperia ni water proof kwa mantiki ya flash proof.. sasa kuna watu wamekua wakizitumbukiza kwenye maji bila kujua baadhi ya flaps zimelegea.. hii inasababisha ukungu kwenye screen au kwenye camera sensors... kwa hiyo jaribu kupeleka kwa fundi mtaalamu eneo ulilopo afungue then asafishe sensor ya camera
 
Simu za Xperia ni water proof kwa mantiki ya flash proof.. sasa kuna watu wamekua wakizitumbukiza kwenye maji bila kujua baadhi ya flaps zimelegea.. hii inasababisha ukungu kwenye screen au kwenye camera sensors... kwa hiyo jaribu kupeleka kwa fundi mtaalamu eneo ulilopo afungue then asafishe sensor ya camera

Ahsante kwa ushauri, toka niinunue hii Simu sijawahi idumbukiza majini
 
Wadau, xperia v3+ inatoka bei gain dukani mpya kabisa?
CBC Chief-Mkwawa name wataalam wengine
 
Last edited by a moderator:
Nje ya mada nina simu sony experia z2 imevunjika tempered glass ya nyuma naweza kurepair?
 
nauliza mbona maswali ni mengi.kuliko majibu.ila os ya android inawatesa sana.mboma wa os WP. os Blackberry. wako poa nijuzeni tena sony ndio janga kabisa.........
 
natumia BlackBerry z30.maisha ni murua sioni joto sijui data kuzima....na nimepakua na kupakia vitu vya android swafi baada ya kuteseka na sony ma 2......
 
Ya kuweza ku repair simu yangu

Dont expect anything in return mkuu wangu

hahahaaa, mi nilijua nakuja kubadlishana pesa na simu!!!
ya kurepair ni kidogo sana bana, aibu hata kuja nayo hiyoooo...hicho kioo cha nyuma ni around $15.
 
Back
Top Bottom