Dawati la msaada kwa Sony Xperia

Dawati la msaada kwa Sony Xperia

Je umejaribu kufanya hard reset kwenye simu yako... Unapofanya hard reset unaifanya system yako kusahau errors ndogo ndogo na kubwa zinazohusiana na software hivyo
Nimefanya hard reset sijui Mara ngapi mpaka nikaipeleka kwa fundi naye akapoteza headphone jack!
 
screen za ya Sonny Experia XP inapatiana wapi na ni bei gani kubadilisha..yangu imevunjika
 
Nataka Ku update Xperia z1 compact kwenda kitkat maana update zimetumwa Ila inataka pc companion sasa Hapo kwangu imekuwa ngumu update.

Ugumu wake upo wapi? huna hiyo application kwenye laptop/computer au huna mtandao wenye kasi au hujui wapi pa kuanzia? update huwa ina karibu 700mb ama zaidi. Ukitaka ku update simu lzm iwe na chaji ya kutosha, zaidi ya 50%. Ni mchakato mwepesi ambao application inakupa maelekezo, mengine inafanya yenyewe.
 
Kama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)

Natumia Xperia Z ni zaidi ya miezi sita sasa. Ilikua inasikika vizuri tu lakini baada ya ku update ikawa siwezi kumsikia mtu hadi niweke loudspeaker. Sometimes NFC ikiwa off inasikika vizuri lakini simu ikizima ukiiwasha tena ndio tatizo linajirudia. Hadi leo hii natumia speaker imegoma kutengemaaa.
 
Natumia Sony xperia T2 ultra dual, speaker yake sio mbovu ila inatoa sauti yenye low quality kulinganisha na simu nyingine, website gani naweza kuitumia kujua kama simu yangu ni original?
 
Nataka Ku update Xperia z1 compact kwenda kitkat maana update zimetumwa Ila inataka pc companion sasa Hapo kwangu imekuwa ngumu update.
Hapo utaitaji ftf file la Sony Xperia Z1 Compact,, sasa inabidi uhakikishe kama model number ni d5503 au vinginevyo.. Baada ya kupata .ftf file utahitaji Sony Flashtool tool kwa ajili ya kazi nzima ya kuinstall hiyo Android Lollipop mkuu..
Pia usisahau kuweka Sony PC Companion ili upate drivers zote..

http://xperiafirmware.com/8-firmware/46-sony-xperia-z1-compact-d5503
 
yangu ni sony xperia tipo ST21i,tatizo haiwez ku copy na ku paste msgs...msaada tafadhali
 
Sony Xperia Z3 inagoma kusoma memory cards,tatizo linaweza kuwa ni nini? Nimeweka memory ya 2GB ikagoma kusoma. Inanipa ujumbe wa "the memory card is defected" lakini memory hiyo hiyo ninapoiweka kwenye simu nyingine inasoma bila tatizo.
 
Sony Xperia Z3 inagoma kusoma memory cards,tatizo linaweza kuwa ni nini? Nimeweka memory ya 2GB ikagoma kusoma. Inanipa ujumbe wa "the memory card is defected" lakini memory hiyo hiyo ninapoiweka kwenye simu nyingine inasoma bila tatizo.

Mkuu hiyo SD Card ya kampuni gani?
 
yangu ni sony xperia tipo ST21i,tatizo haiwez ku copy na ku paste msgs...msaada tafadhali

Nipe Android Version yako na messaging App unayotumia..
Pia nakushauri ujaribu third party messaging Applications kama GoSMS, Hoverchat, au Messenger..
 
Mkuu nina Sony Experia T2 tatizo lake inagoma kutouch upande wa juu kabisa wa screen,kama inch moja hivi

Hiyo ni ya kubadilisha digitizer (touch) mkuu.. juzi nilikuwa na HTC ONE X yenye tatizo kama hilo baada ya kubadilisha kioo ikawa fresh
 
Ninatumia sony xperia z1 compact na nimeshatumiwa update za android lollipop. Hata hivyo mpaka sasa nimesita kupdate kwa kuwa nimejaribu kusoma mtandaoni na kuona kwamba malalamiko ni mengi sana kuhusu update hii kuanzia kumaliza betri kwa almost half the time of kitkat kamera kutofanya kazi nk. Unaweza kufafanua hii inakuwaje. Hasa hili la chaji ndio linaniumiza kichwa
 
Ninatumia sony xperia z1 compact na nimeshatumiwa update za android lollipop. Hata hivyo mpaka sasa nimesita kupdate kwa kuwa nimejaribu kusoma mtandaoni na kuona kwamba malalamiko ni mengi sana kuhusu update hii kuanzia kumaliza betri kwa almost half the time of kitkat kamera kutofanya kazi nk. Unaweza kufafanua hii inakuwaje. Hasa hili la chaji ndio linaniumiza kichwa
Ni Android 5.0.1 mkuu?
 
Sony Xperia Z Ultra haina sehemu ya ku reatart ina screen take na switch off tu je restart au reboot nitaiwekaje?
 
Back
Top Bottom