Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 769
- 1,239
Very disappointing kwakweli.. Hill toleo nahisi walichemkaMkuu na yakwangu inamtatzo kama yako pia yangu inapata moto kama pasi
Very disappointing kwakweli.. Hill toleo nahisi walichemkaMkuu na yakwangu inamtatzo kama yako pia yangu inapata moto kama pasi
Hii ni kweli mkuu,xperia t2, 13mp lakini nikipiga picha kwenye mwanga picha inatoka imepauka kwa pembeni, kimsing technology yao ya camera iko chini.tatizo la sony xperia camera zao sio nzuri qualitu mbaya mno 20.1mp inakua kama lumia535 daaa what a bad cam.
pia glass cover sijaipenda inaongeza risk tuu na gharama za ajabu
sio kwenye simu tuu mkuu hata digital camera zo ni mbaya mno. canon na nikon nawaheshimu picha zao nzuri sanaHii ni kweli mkuu,xperia t2, 13mp lakini nikipiga picha kwenye mwanga picha inatoka imepauka kwa pembeni, kimsing technology yao ya camera iko chini.
Siyo hujui kuzitumia camera zao!tatizo la sony xperia camera zao sio nzuri qualitu mbaya mno 20.1mp inakua kama lumia535 daaa what a bad cam.
pia glass cover sijaipenda inaongeza risk tuu na gharama za ajabu
Na mi yangu ina matatizo hayo inaweza like bila kuclick.nahisi ndo hiyo ghost touch . Yako umepata msaada ganiZ2.. Yangu inajifungua kila application yenyewe.. Ina click inatoka nini tatizo
Habari ya majukumu wanaJF.
Nimefanikiwa ku-updates simu yangu (OS) toka Lollipop kwenda Marshmallow 6.0.1 pasipo tatizo lolote, na nikapa furahia utendaji kazi wake.
Changamoto nimeanza ipata jana, simu imekuwa inasumbua sana kwenye internet, haisomi 4G ilhali mtangulizi wake Lollipop alikuwa ni mwema sana.
Pia ukiachana na 4G bado kwenye suala la network ni changamoto, kuna wakati inakata kabisa mtandao.
Hali ilikuwa kama hivi
![]()
Baadaye
![]()
Kisha nipo hapa panapo taka niichukie simu...![]()
Naombeni msaada , kama kuna uwezekano nika reverse hii OS nirudi kwenye Lollipop!
Pia hata kwenye matunzo ya berty bado sana, inapungua kama Yecno
Ww labda haujaijulia Sony ana camera nzur tuu kwenye simu zake hasa za Chini ndio zipo fresh..mfano tumia z1 kwenda mbele anatoa picture nzur...issue kioo chake siyo angavu kama cha Samsung.Hii ni kweli mkuu,xperia t2, 13mp lakini nikipiga picha kwenye mwanga picha inatoka imepauka kwa pembeni, kimsing technology yao ya camera iko chini.
Mkuu jaribu kufuatiliana kwenye Google na YouTube may kutakuwa na tatizo katika hyo software yao so labda kuna namna ya kuset pia jaribu kuituma kwa mdaa labda itatulia.Vip
Kuhusu d6503 mkuu mie sijapata kwenye sony experia z2
Kwasasa nimeletea Security patch nyingine, sasa sijajua kama inaweza leta msaada au vinginevyoMkuu jaribu kufuatiliana kwenye Google na YouTube may kutakuwa na tatizo katika hyo software yao so labda kuna namna ya kuset pia jaribu kuituma kwa mdaa labda itatulia.
jaribu kudownload 3rd party camera apps kama vile camera 360 uone itafanya kazi au haitafanyaHabari wadau. mie tatizo langu ni camera, kila nikipiga picha inakataa, inaniandikia Unfortunately camera has stopped. nimejaribu kuifanyia hard reset lakini bado tatizo lipo pale pale. Msaada tafadhali, natumia Sony Xperia E3 dual.
natanguliza shukrani Mwl.RCT Chief-Mkwawa
Polee saana nina experia c3 dual 8mp pic zinatokaa saaafi saana primary ina 5mp with flash pic znatoka poa kabisaatatizo la sony xperia camera zao sio nzuri qualitu mbaya mno 20.1mp inakua kama lumia535 daaa what a bad cam.
pia glass cover sijaipenda inaongeza risk tuu na gharama za ajabu
tuma tuone.Polee saana nina experia c3 dual 8mp pic zinatokaa saaafi saana primary ina 5mp with flash pic znatoka poa kabisaa