Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Ndio, mimi nimetoka kubadilisha yangu jana z3 compact.... Andaa kama laki na hamsini...
Umebadilishia wapi mkuu, mimi niko Dar!
Ndio, mimi nimetoka kubadilisha yangu jana z3 compact.... Andaa kama laki na hamsini...
Nenda pale Mtaa wa Samora, Ukitoka round about ya sanamu ya mashujaa kama unaenda Samaki samaki mkono wa kulia mle pembeni mwa maduka ya simu kuna vijana wamejaza makava na vioo vya simu mbovu.Umebadilishia wapi mkuu, mimi niko Dar!
Hakikisha wakati unapiga picha ongeza brightness mpaka mwisho, picha Zako zitatoka poahata mimi natumia xperia Z ila ina tatizo la kutopata picha nzur wakat wa usiku, ila kwa mchana zinakuwa poa mno. na hilo tazto ni since dy 1 nimenunua. msaada tafadhar..
Ndio, mimi nimetoka kubadilisha yangu jana z3 compact.... Andaa kama laki na hamsini...
Yangu pia ina shida hiyo naona bora nibadilishe screenZ2.. Yangu inajifungua kila application yenyewe.. Ina click inatoka nini tatizo
Nina Sony Xperia Z1 hata 6 months haijafikisha, ina tatizo la ghost touch na pia nadhani imeua battery, charge ilianza ku drop from 50% to 1 % na kuzima, sahivi ikifika 98 % tu inazima, na ukichaji inajaa kama count down.. Nahitaji kubadili battery.Kama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)
Mkuu weka contacts zako,simu ya wife ina matatizo lukuki na internet ndo hakuna kabisa yani all android applications hazifanyi kazi.Niko DarKama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)
Nenda Posta pale kuna Madogo wana weza ipa uhai.We acha tuu kisimu chenyewe cha ngama,afu sikuwa na mpango wowote wa kununua simu hapa karbuni mi mwenyewe nimedata,pole
Nina Sony Xperia Z1 hata 6 months haijafikisha, ina tatizo la ghost touch na pia nadhani imeua battery, charge ilianza ku drop from 50% to 1 % na kuzima, sahivi ikifika 98 % tu inazima, na ukichaji inajaa kama count down.. Nahitaji kubadili battery.