God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
nzuri ila nlikua na z1 ilikua mbaya sana
mi nlikuwa nna xperia z1 c6902 ikawa na picha ziko blurry sana, yani nikashangaa sana kwa sababu mwanzoni kuna rafiki yangu alikuwa na z1 c6903 ilikuwa ni kiboko kwa kutoa picha angavu yani mpaka nikapata mshawasha wa kununua hio yangu. Ila sikupata moja ya vile ambavyo vilinipa msukumo wa kuinunua zaidi ya kufaidi long battery life na ile prestige tu ya kumiliki high-end brand.Polee saana nina experia c3 dual 8mp pic zinatokaa saaafi saana primary ina 5mp with flash pic znatoka poa kabisaa
<br />jaribu kudownload 3rd party camera apps kama vile camera 360 uone itafanya kazi au haitafanya[quote uid=190066 name="mangi jr" post=16258800]Habari wadau. mie tatizo langu ni camera, kila nikipiga picha inakataa, inaniandikia Unfortunately camera has stopped. nimejaribu kuifanyia hard reset lakini bado tatizo lipo pale pale. Msaada tafadhali, natumia Sony Xperia E3 dual.<br /><br />natanguliza shukrani Mwl.RCT Chief-Mkwawa