Mars Rover
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 338
- 140
- Thread starter
- #61
habari wakuu nmenuua juzi sony experia z..tatizo lake inasoma 2G haipandi zaidi yaapo wakati specification zake ni 4g,,,location ipo nzur coz simu niliokuwa natumia ni ya kawaida (b-elite) ilikwa isoma 3G karibia mda wote
Kwenye Dialer type *#*#4636#*#* then jaribu kuichagulia WCDMA only..
Isipopokea HSDPA basi simu yako inaweza kuwa CDMA EVDO smartphone ambazo ni kwa ajili ya Chinese market.. tupe feedback tutafute radio images..
Ukitoa Phone Model itakua vizuri zaidi