Dawati la msaada kwa HTC smartphones

Dawati la msaada kwa HTC smartphones

Kuna jamaa anasema aliwahi kuinunua 1.2m sijui ni kweli au maneno tu. Ngoja niigoogle nione ina specification gani

HTC ONE X, simu ya zamani kidogo kwa bei hiyo labda alimaanisha HTC ONE M9
 
HTC HD7 ina run windows 7. Nataka update OS mpaka windows 8.1 ili niweze install apps kama screen capture na instagram.

Pia haionekani kama Mass Stirage device kwa PC


Please assist.
 
HTC HD7 ina run windows 7. Nataka update OS mpaka windows 8.1 ili niweze install apps kama screen capture na instagram.

Pia haionekani kama Mass Stirage device kwa PC


Please assist.

Hardware yake ya zamani sana japo ilikua simu yenye uwezo wa kupiga Android and Windows, kwa sasa hivi imechoka mkuu.. Kama vipi consider kununua nyingine
 
HTC ONE X, simu ya zamani kidogo kwa bei hiyo labda alimaanisha HTC ONE M9

Nina hii htc one x issue inakuja kwenye speed ya internet ipo slow lkn line ukiweka ktk simu nyingine inakuwa vizuri hata youtube inacheza bila kukata na zote zipo kwa 3G. Nilifanya updates ina jelly bean. Na haina more updates
 
Nina hii htc one x issue inakuja kwenye speed ya internet ipo slow lkn line ukiweka ktk simu nyingine inakuwa vizuri hata youtube inacheza bila kukata na zote zipo kwa 3G. Nilifanya updates ina jelly bean. Na haina more updates

Angalia APN Settings zako mkuu, inatakiwa kuwa hivi:
Settings >Mobile Networks>Access Point Names
Reset defaults.. then New APN..

Name: Donie (au jina lolote)
APN:internet (herufi ndogo)
(kwingine acha palivyo)


Baada ya hapo nenda kwa Dialer *#*#4636#*#*
Phone Information >chagua WCDMA Only.. ila ukitoka maeneo yasio na 3G kumbuka kurudisha GSM Only..
 
Angalia APN Settings zako mkuu, inatakiwa kuwa hivi:
Settings >Mobile Networks>Access Point Names
Reset defaults.. then New APN..

Name: Donie (au jina lolote)
APN:internet (herufi ndogo)
(kwingine acha palivyo)


Baada ya hapo nenda kwa Dialer *#*#4636#*#*
Phone Information >chagua WCDMA Only.. ila ukitoka maeneo yasio na 3G kumbuka kurudisha GSM Only..

Maelezo yako yapo sahii na nayatambua maana nimehangaika kidogo hata ku google site za nje sijapata solution na ikiwa ipo kwa 3G na signal ipo full hapo kidogo inajitahidi lkn kama kuna bar mbili au moja ndio sipati kitu wakati nina ka samsung kadogo (galaxy pocket) hii hata ikiwa bar moja inapiga kazi vizuri. na hii htc ikiunganishwa na wireless inafanya kazi kama kawaida
 
Maelezo yako yapo sahii na nayatambua maana nimehangaika kidogo hata ku google site za nje sijapata solution na ikiwa ipo kwa 3G na signal ipo full hapo kidogo inajitahidi lkn kama kuna bar mbili au moja ndio sipati kitu wakati nina ka samsung kadogo (galaxy pocket) hii hata ikiwa bar moja inapiga kazi vizuri. na hii htc ikiunganishwa na wireless inafanya kazi kama kawaida

Upo kwenye OS version gani? Je ni simu ya carrier yeyote kama Verizon, Sprint au AT&T..

Kama una S-OFF na Super CID (Huwa ni 11111111) kwenye Bootloader basi unaweza kufanya RUU update za 3G UK ukapata Radio images mpya ikawa stable.. Simu zinazotoka Marekani mara nyingine zinakua na issue ya radio frequency sababu wao wanatumia Band tofauti
 
Wakuu niaje? Nina htc wildfire,tatizo lake bwana nilibadil screen baada ya kupasuka sasa hai sance ukibonyeza a inakuja t
 
Wakuu niaje? Nina htc wildfire,tatizo lake bwana nilibadil screen baada ya kupasuka sasa hai sance ukibonyeza a inakuja t

Hiyo touch uliyoweka ni original mkuu? Mjini zipo feki nyingi sana
 
Upo kwenye OS version gani? Je ni simu ya carrier yeyote kama Verizon, Sprint au AT&T..

Kama una S-OFF na Super CID (Huwa ni 11111111) kwenye Bootloader basi unaweza kufanya RUU update za 3G UK ukapata Radio images mpya ikawa stable.. Simu zinazotoka Marekani mara nyingine zinakua na issue ya radio frequency sababu wao wanatumia Band tofauti

Maelezo yaliyopo:

Android Version 4.2.2

....RELOCKED...
endevoru PUT SHIP S-ON RL
H BOOT - 1.73.0000
CPLD - NONE
MICROP - NONE
Radio - S 1204-167-31
EMMC - bootmode - disabled
CPU Bootmode - disabled
HW Secure Boot - enabled
Moden Path : OFF
June 21 2013,18:24:41
 
@Mars Rover kama utaweza pata RUU ambayo umeshauri naomba unipatie link niishushe maana najaribu ku- google napata results tofauti
 
@Mars Rover kama utaweza pata RUU ambayo umeshauri naomba unipatie link niishushe maana najaribu ku- google napata results tofauti

Sawa nitakuangalizia, ila kwanza unatakiwa uwe S-OFF mkuu.. pia kama unazijua adb commands..
Weka simu yako kwenye FASTBOOT mode alafu andika kwenye Command Prompt

fastboot devices [enter]
fastboot getvar cid [enter]
hakikisha inaleta CID 111111111
 
Back
Top Bottom