Mars Rover
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 338
- 140
- Thread starter
- #81
HTC 500 tatizo langu kila picture ina-expire baada ya muda.
Picha ina expire vipi mkuu.. tuandikie error message unayoipata..
HTC 500 tatizo langu kila picture ina-expire baada ya muda.
Mkuu me nna HTC one S shinda sim card slot haiwezi kushikilia sim card then nmepeleka kwa fundi kkoo anadai hamna spea yake dukani. VP hapo kuna alternative au ndo niifanye game console na Wi-Fi internet
...Kaka kwa utalaamu wako kuna HTC one M7 ya kichina?! Au HTC yeyote ukiiona ujue ni lazima iwe Origional
Suluhu hapo ni kutafuta mtu mwenye HTC One S iliyoharibika but board yake iwe nzima... vinginevyo uifuate eBay zinapatikana kwa dollar 4 tu...
Link ya eBay: New Sim Card Tray Holder Slot for HTC One s Phone Replacement Part Repair | eBay
Imeandika flash succefully
mkuu Mars Rover ahsante kwa uzi wako,
me nina HTC one SV, ilizima ghafla nikijua ni charge imeisha, nilipochomeka kwenye umeme badae simu ikajiwasha yenyewe ila inaishia kwenye logo tu ya hTc, na kwenda kwenye factory mode, yan hai boot Os kabisa, nilijaribu ku factory reset inarudi palepale hata ukiwasha tena, tatizo ni nin mkuu...?
Ahsante
Xaxa nimeishia pale kwenye recovery haiendelei
Xaxa nimeishia pale kwenye recovery haiendelei
Htc one M7 ....ni dual sim imasumbua camera haitoi picha nzuri......ukipiga inatoa rangi ya puple na red
ukitaka nikuelekeze toa information zote kama error message..,
Yaani ikitaka kurestart inabakia pale kwenye logo na inaandika yale maneno
Mbona mie hiyo post yangu ya juu hauijibu mjomba au ndio undugulazation mpaka kwenye mitandao ya kijamii....
ha,ha,haaaaa,haaaaaaaaaa, kumbe zinatuhangaisha wengi,nilifikiri ni mimi tu duuuh, yangu ni htc_700 sasa siwezi kuelezea mateso inayonipa...
Bado inakusumbua mkuu?
Hilo ni tatizo la hardware kwa M7 nyingi.., camera inaonyesha purple au pink kwenye mwanga mdogo.. tafuta fundi wa simu mwenyewe spare kutoka kwenye HTC One M7 nyingine..
Angalizo: hizi post ni kusaidiana tu mkuu.. uwe na subira na sio kufanya kama unalazimisha watu.. Sio vizuri mkuu..
Pamoja sana mkuu wangu
ndugu yangu weee,yaani ni taabu tupu:
1: charge haikai muda mrefu na hili nimeambiwa dawa ni power bank,sasa hapa tayari natembea na kamzigo
2: juzi imepoteza whatsapp app nimekaa siku mbili kuirejesha kwa kuidownload
3:sasa kubwa ya yote kuna msg inatokea kwenye screen ikionesha kwamba "htc has lost...." ngoja hii ikitokea nitarudi kwako. ila tu inapotokea hii huwa sina control tena kwenye screen,itajizima na kujiwasha yenyewe...... aaaaagh,mkuu huwa natamani kulipiga chini