NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,025
- 688
Kule mtasubiri sana chimbeni visima vyenu milima utafikiri tupo nchi ya Rwanda bwanaKwanza napenda kuwapongeza sana DAWASCO kwa utaratibu huu mzuri sasa hebu tuelezen barabara ya Goba ya mbezi mnaleta maji lini?