masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Jana usiku limepasuka bomba kubwa la maji linalolisha katikati ya Jiji la DSM.
Katika taarifa ya habari ITV saa mbili, Mtendaji mkuu wa DAWASA amesema bomba hilo limepasuka kutokana na ujenzi unaoendelea, kitu ambacho si kweli.
Wakati huo huo bomba kwingine limepasuka huko Mlimani .
DAWASA wewe wakweli na earlier kwa nini bomba limepasuka.
Katika taarifa ya habari ITV saa mbili, Mtendaji mkuu wa DAWASA amesema bomba hilo limepasuka kutokana na ujenzi unaoendelea, kitu ambacho si kweli.
Wakati huo huo bomba kwingine limepasuka huko Mlimani .
DAWASA wewe wakweli na earlier kwa nini bomba limepasuka.