Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

mwaka wa kwanza wa wapi mkuu? Jadili kama great thinker!!. Epxpet opinions are admissible in our courts. Wewe kama una precedence iliyo kataa ku-admit weka hapa.

Tayari umepanic.

weka hapa precedent ya kesi iliyomtia hatiani mtuhumiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya kwenye courts za Tanzania.
 
kesi ya matumizi ya madawa hukumu yake ni faini ya shilingi 1m...kwa mtu kama manji...hicho kiasi ni sawa na senti tano tu.
 
9bfe7ae03ec5b4c14444014b02c63fcb.gif

Wakili: Manji mlimkamata akiwa anatumia dawa za kulevya lini,wapi na muda gani?
Jamhuri : SIJUI

Tulia mkuu
Kesi nyepesi hii
Serikali chali


Wakili:-Kwa mjibu wa vipimo vilivyochukiliwa kinyume na taratibu na kuendeshwa mkemia mkuu.
Kweli si kwe
Jamuhuri:- KWELI

Wakili:- Imethibitika kuwa manji awali alituhumiwa kwa kujihusisha na madawa ya kulevya kwa namna au nyingine, lakini vithibitisho vimekujakutolewa maelezo ya mkemia mkuu kama tulivosema hapo awali, kweli si kweli

Jamuhuri:- KWELI

 
watanzania tuache kujifanya hatuzijui mahakama zetu, kitakachoamuliwa mahakamani ndicho kitakachokuwa Jpm ameagiza kifanyike.
 
Watanzania mna kumbukumbu ndogo sana. Si wiki iliyopita hapa wakina TID walipandishwa kisutu wakasainishwa kiapo cha kuwa na tabia njema na kutakiwa kuripoti kila baada ya wiki mbili kwa mwaka mzima? Mngejua maana ya kiapo hicho mngefunga midomo. Kuwa na tabia njema inaweza kutafsiriwa pia hawaruhusiwi hata kufukuza kuku achilia mbali kurudia tena kuvuta
Ndugu yangu, tukishakaa nyuma ya kibodi zetu na bendera ya yanga pembeni, kumbukumbu zooote hufutika
 
Umenenaaaa,, hiviii kwann wanasheria hutumia kesii za zaman zlivyohamliwa na kumtaka hakimu au jaji kupitiaa kabla ya mahamuz,,,, nijuavyo kwa uelewa wangu reference husaidia kuboresha zaid ila upande wa sheria huwa naona nikukandamiza zaid kwann,,


Ndugu, yangu kwa kifupi sheria , wanasheria , mawakili na mahakimu hawana lolote pale kwa sababu, wanaweza kupanga hitimisho la kesi yaani kabla hata kesi haijatajwa .

Kwa sababu, kona zote za kukutia hatiani au kukuweka huru wanazijua pa kuiweka.

Mfano, mimi niliwahi kushuhudia kesi mbili zinazofanana kabisa kwa kila kitu ila sasa maamuzi yaliyotolewa tofauti kabisaaa na hizo kesi za references zililetwa ila mmoja akafungwa na kesi ingine mtu akaachiwa.

Ndipo nikasema kweli , "All Lawyers are Liars" unless otherwise there is a hidden agenda in law.
 
Makundi ya watu wanaomtetea Manji
1. wana yanga njaa
2. wenye itikadi moja naye nliwasikia watu wakisema jana nje ya msikiti mmoja kuwa ni mwana shia mwenzetu
3. wapinzani njaa ambao wao watapinga tu kwa kuwa kakamatwa na serikali hii
4. wasiojielewa
5. wauza,watumiaji madawa ya kulevya.

haya ni baadhi ya makundi ambayo yatasiama siku zote kumtetea na kujaribu kumsafisha. ukweli unabak the man is so dirty na ametuingizia taifa hasara nyingi sana.
 
Gwajima si alisema kuwa yeye na Manji walipopimwa Kwa Mkemia Mkuu walikutwa -ve.Imekuwaje tena yeye apandishwe mahakamani Kwa jambo ambalo Gwajima anasema jamaa hausiki nalo?
Gwajima aliongelea kuhusu kupimwa kwake vipimo majibu hayatolewi kama matangazo kaka kwamba kila mtu ajue ndo maana gwajima kakutwa fresh kaachiwa ngoja twende mahakamani ndo haki iliko
 
Unachowaza kuhusu asili siyo kweli kabisa, kama ingekuwa hivyo Marekani wasingekuwa wanajiita white and black Americans.

Please, think again!


Usiniletee mambo ya Marekani, nnayajuwa zaidi yako, huko kuna mpaka akina brown na yellow, unayajuwa hayo?
 
Back
Top Bottom