Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Makamanda Mwenyekiti wa Taifa Mhe.Freeman Mbowe amekwisha kutoka police muda huu...

Makamanda wote tukutane kesho mahakama kuu kwenda kumsindikiza kamanda Mbowe kwenye kesi aliyomfungulia Mkuu wa Mkoa wa Dsm...
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Asante kwa taarifa, kuna watu walikosa usingizi, sasa watalala kwa amani!.

Paskali
 
Hivi wanakuwa na ushahidi wa kutosha kabla ya kuwaita hawa watu ama ilimradi tu; maana interview zenyewe ni ndefu kweli as if wana evidence. Nchi zingine raia wa kawaida tu ukiitwa au ukikamatwa na polisi duty solicitor akifika tu kitu cha kwanza anachokwambia usijibu chochote kinachoweza kukutia hatiani basi wakianza mwanzo mpaka mwisho wewe kila swali no comment.

Interview ikiisha anawaanzia wao watoe sababu za kisheria na ushahidi kwanini bado wakushikilie kama hakuna lazima aondoke na mteja wake; sasa inakuwaje mtu anakaa polisi kuanzia asubuhi mpaka mida ya usiku kama vile polisi wana evidence zozote za awali za kujengea kesi.
 
makamanda wa wapi nae huyu anazungumzia,nyie wote kuanzia mwenye chama mtei mpk nyie vibaraka mnapigania matumbo yenu tu,chama pinzani kupewa nyie wanywa mbege mi sikubali hata kidogo,makamanda kina Mnyika wametulia tuli toka mmeuza chama kwa lowassa,endeleeni kutapatapa na safari hii mnalo,magu hacheki na nyoka
 
Ujin.ga nao ni kipaji. Mtu unamtuhumu anajihusisha na madawa ya kulevya. Unautangazia umma kwamba mtu huyu anahitajika Polisi kwaajili ya mahojiano na Polisi kuhusu kujihusisha kwake na biashara ya madawa ya kulevya.

Baada ya wiki 2 mtu huyu anakwenda Polisi kwaajili ya mahojiano. Baada ya mahojiano Polisi na huyo mtuhumiwa wanakwenda nyumbani kwaajili ya upekuzi.

Polisi kwa Ujin.ga waliojaliwa wanatumainI baada ya mda huo wote na sarakasi hizo eti watakuwa exhibits chochote ambacho kitamu link mtu huyo na madawa ya kulevya.

Kama huo sio Ujin. ga wa karne basi utakuwa uju.ha wa milennium. Sijawahi kuona watu waliokosa uweledi wa kazi yao kama hawa. Inabidi tuwaingize kwa Guineas World records of stupidity!
 
Sure mkuu

Hali tete sana nchin hasa akili za vjana kuendeshwa na mihemko ya wanasiasa

Hv lisu anasubili magu anazumgumze jambo.la msumbiji na yeye atengue kwa kauli za magu kw vifungu vya sheria

Na vijana wamshangalia,yaan mambo ni km wale wachungaji wanao sema tuombe na kusali baada ya njaa kutoke badala ya kusema tusali njaa isitokee

Mie watz hata siwaelewi.wacha wawatumie tuu
Dah... Kwa akili za namna hii... Wataendelea kuwa wapinzani wa "maisha "
 
Hivi wanakuwa na ushahidi wa kutosha kabla ya kuwaita hawa watu ama ilimradi tu; maana interview zenyewe ni ndefu kweli as if wana evidence. Nchi zingine raia wa kawaida tu ukiitwa au ukikamatwa na polisi duty solicitor akifika tu kitu cha kwanza anachokwambia usijibu chochote kinachoweza kukutia hatiani basi wakianza mwanzo mpaka mwisho wewe kila swali no comment.

Interview ikiisha anawaanzia wao watoe sababu za kisheria na ushahidi kwanini bado wakushikilie kama hakuna lazima aondoke na mteja wake; sasa inakuwaje mtu anakaa polisi kuanzia asubuhi mpaka mida ya usiku kama vile polisi wana evidence zozote za awali za kujengea kesi.

Ujibu no comment interview nzima nchi ya ma-kaboka mchiz hujipendi?

Mambo yetu yanakwenda manual manual. Hiyo list ni upuuzi mkubwa kuwahi kutokea tanzania. Huwezi sema mmiliki wa kitu flani aende kituo cha polisi kwa tuhuma nzito kama madawa ya kulevya. Yani umejiridhisha kuwa mtu anahusika na madawa kiasi cha kupoteza muda kumuita, ila unashindwa kujiridhisha jina lake halisi?unaishia kumwita mmiliki wa kitu flani?

Haya mambo mara ya mwisho yalikuwa kwenye kitabu cha mfalme juha.
 
Ujibu no comment interview nzima nchi ya ma-kaboka mchiz hujipendi?

Mambo yetu yanakwenda manual manual. Hiyo list ni upuuzi mkubwa kuwahi kutokea tanzania. Huwezi sema mmiliki wa kitu flani aende kituo cha polisi kwa tuhuma nzito kama madawa ya kulevya. Yani umejiridhisha kuwa mtu anahusika na madawa kiasi cha kupoteza muda kumuita, ila unashindwa kujiridhisha jina lake halisi?unaishia kumwita mmiliki wa kitu flani?

Haya mambo mara ya mwisho yalikuwa kwenye kitabu cha mfalme ****.

Mgosi, nafikiri utaratibu ni sawa wa polisi kumtaka mtu aende mwenyewe kituoni ila kuna kasoro katika namna ambavyo Kamanda Sirro anafanya kazi yake.

Sidhani kama polisi wanapaswa kutangaza operesheni zao baada ya orodha kutangazwa hadharani.

Wanapaswa kufanya kazi yao kimyakimya na habari zote ziandikwe watu wakifikishwa mahakamani.

Ila kwa jinsi mambo yanavyokwenda inawabidi pilisi kuweka kila kitu wazi ili asilaumiwe mtu.
 
Ujibu no comment interview nzima nchi ya ma-kaboka mchiz hujipendi?

Mambo yetu yanakwenda manual manual. Hiyo list ni upuuzi mkubwa kuwahi kutokea tanzania. Huwezi sema mmiliki wa kitu flani aende kituo cha polisi kwa tuhuma nzito kama madawa ya kulevya. Yani umejiridhisha kuwa mtu anahusika na madawa kiasi cha kupoteza muda kumuita, ila unashindwa kujiridhisha jina lake halisi?unaishia kumwita mmiliki wa kitu flani?

Haya mambo mara ya mwisho yalikuwa kwenye kitabu cha mfalme ****.
Na jengo lenyewe wamelibomoa la bilicanas
 
Ujibu no comment interview nzima nchi ya ma-kaboka mchiz hujipendi?

Mambo yetu yanakwenda manual manual. Hiyo list ni upuuzi mkubwa kuwahi kutokea tanzania. Huwezi sema mmiliki wa kitu flani aende kituo cha polisi kwa tuhuma nzito kama madawa ya kulevya. Yani umejiridhisha kuwa mtu anahusika na madawa kiasi cha kupoteza muda kumuita, ila unashindwa kujiridhisha jina lake halisi?unaishia kumwita mmiliki wa kitu flani?

Haya mambo mara ya mwisho yalikuwa kwenye kitabu cha mfalme ****.
For what is worth regardless of one man's power kuna taasisi za 'human rights', Tanganyika Law Society and several home and international watchdogs watu awawezi kukaa kimya wakati infringement of 'civil liberty' is being promoted in the day broad light by the government agents.

Unamuita mtu kwa mahojiano tena na kumkamata kwa nguvu maana yake tayari unaushaidi wa awali; akifika huko ni wewe sasa umpe huo ushahidi wako yeye hana ulazima wakushirikiana na wewe kama yuko tayari kwenda mahakamani mfungulie kesi.

Kama hauna ushahidi wowote let the person walk free na surely wanasheria wao wanatakiwa walipazie sauti hili swala pamoja na taasisi zingine za kisheria kuendelea hivi ni kuwajengea fikra za kwamba nchi aina sheria.

Huyu ni kiongozi wa kitaifa sisi wengine itakuwaje kama polisi wanaanza tabia hizi mapema hivi wakati kila mtu anaona hii sio sahihi.
 
Wauache na udikteta wao huyo dogo anatuika vibaya sana!! Anaacha kukomaa na amisha yake atengeneza miaka 20 mbele ataishije anajitoa akili kwa miaka 5 hii!!!muda utasema!! Tupo na tutaendelea kuwepo kwa uweza wa Mungu!!!
 
Kama habari hii ni ya kweli, basi vita imeshaingiliwa na serikali wajiandae kulipa tu fidia, pia wajiandae kuwaomba msamaha wauza ngada wote, inaonesha wauza ngada washafanya yao mapeema!
Unaanzaje kwenda kumpekua mtu kwake ambaye amekukwepa wiki mbili tangu umuweke hadharani kuwa unamuhitaji kwa mahojiano?
Unakwenda kumpekua nini kwa muda huu ambapo mwenyewe kajisalimisha?
Hata kama jamaa anajihusisha kweli, two weeks ni muda mrefu sana kwa muuza ngada kutomkuta na hatia!
Nimelidharau sana wazo la kwenda kumpekuwa nyumbani kwake, hata hivyo tujiulize, kwani biashara hii watu wanafanyia majumbani kwao?
Mbona nchi hii viongozi mnakera namna hii, mnadhani ni vipi mtashinda kesi hii?
 
Back
Top Bottom