marveljt
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,503
- 1,479
Kuna jamaa anadai bado yuko ndani,sasa sijui nani ni nani. Dada eliza labda atuambie maana kama amejua kukamatwa kwake hata kuachiwabpia atakuwa anajua.
Taarifa za kukamatwa mmeleta sawa! Sasa za kuachiwa bila hata ya kupelekwa mahakamani mbona kimya??? Nauliza tuu..