Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,279
Tulizomee li Mr Daudi
Pale ambapo watawala wamechoka kutawala na watawaliwa nao wanalazimishwa kujikomboa ... yangu macho...
M/kitu wako lini aliwahi kutii hiyo sheria? angeanza kutoa mifano yeye kama figure ya hekaya yenu huko. Aache mambo ya bongo movie
Ni picha ambazo aliyekuwa Mbunge wa Meatu Meshack Opurukwa aliwahi kuzitoa Bungeni kama ushahidi akionyesha jinsi askari wa Wanyamapori walivyokuwa wakiharibu mali za wanakijiji huko Meatu wakati wa Operesheni TokomezaMkuu tulia uongezee nyama huu uzi kidogo.
Picha mbalimbali za matukio ya uhalifu yaliyofanywa na nani?
Kama ikiwezekana, tuma na hizo picha tuzione.
Orodha ya vitu walivyokamata polisi nyumbani kwa Freeman Mbowe na vimeorodheshwa kwenye fomu nao.DCEA 003 inayoitwa 'Hati ya Ukamataji' iliyotolewa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa:
(1) Hati moja ya CHADEMA CHASO kwenda kwa Mwenyekiti ya tarehe 16/7/2013
(2) Picha mbali mbali nane za matukio ya uhalifu - picha za wahalifu wanaoharibu mali
(3) Hati moja ya Rasimu ya Kwanza ya CHADEMA kuhusu uundwaji wa Red Brigade
(4) Hati moja ya kurasa 13 inayoongelea mambo ya muungano.
Hivi nyaraka hizi zina mahusiano gani na madawa ya kulevya?? Anyway with some knowledge plz??
Hukulaa kwani mzee mwenyewe nani kwa hadi hupati usingizi?
Kilichobaki sasa ni kuachia ngazi kama muasisi mzee wa Tengeru anavyosisitiza
Viwanda vya kuzalisha visasi.Nchi ya viwanda
Mpaka 2020 kila kitongozi kitakuwa na kiwanda.Viwanda vya kuzalisha visasi.