Mrukus
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 389
- 179
Jaribu duka la vipodozi na Super market kubwa.Inapatikana maduka gani?
Jaribu duka la vipodozi na Super market kubwa.Inapatikana maduka gani?
Hii shabu inauzwa maduka gani??? Ya dawa auu
Sio Mimi nnae enda kutumiaMkuu,
Pitia mitaa ya soko lililo karibu na wewe.
Ukikosa basi tembelea maduka ya dawa za asili.
Tumia halafu leta mrejesho
Shukrani
Sio Mimi nnae enda kutumia
Sawa mkuu nimekuelewa
Naamini atakukubali sana.
Shukrani
Usije ukamletea madhara mwenzio. Una uhakika na hili mkuu?Kuna sehemu nilisoma..unanunua Asprini..unayeyusha na maji KIdogo alafu unapaka eneo husika baada ya kunyoa..
Jaribu
Nina uhakika na ni effective kabisa. Ila kama anamashaka atafute njia nyingine.Usije ukamletea madhara mwenzio. Una uhakika na ili mkuu?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Nina uhakika na Ni effective kabisa. Ila Kama anamashaka atafute njia Nyingine.
Ila Aspirin ukiyeyusha unachukua na kakitambaa kasafu au pamba.. unapaka
Hii siyo ya ndevu, ila inafanya kazi.Msaada wakuu,
Saivi nikinyoa ndevu natoka mapele utadhani kikoi cha jasusi. Hii ni hususan nikitumia shaving mashine, angalau kidogo saluni. Naombeni msaada wazee, mtu unaonekana smart usoni lakini kidevu kimechakaa kama soksi za mwamnyeto
Ntajaribu mkuuKuna sehemu nilisoma..unanunua Asprini..unayeyusha na maji KIdogo alafu unapaka eneo husika baada ya kunyoa..
Jaribu
Yaan unachovya Yale maji yenye aspirin na pamba unapaka kidevuni?Nina uhakika na Ni effective kabisa. Ila Kama anamashaka atafute njia Nyingine.
Ila Aspirin ukiyeyusha unachukua na kakitambaa kasafu au pamba.. unapaka
Nashukuru mkuuHii siyo ya ndevu, ila inafanya kazi.
Kama unaweza kuipata, chukua yenye 2% Salicylic acid.
Kwangu inafanya kazi vizuri sana.
Weka picha ya kidevu nijue nakusaidiaje jombaaNashkuru mkuu
Misuse of drugs, kuna madhara makubwa tambuaKuna sehemu nilisoma..unanunua Asprini..unayeyusha na maji KIdogo alafu unapaka eneo husika baada ya kunyoa..
Jaribu