mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 616
The higher the risk the higher the profit.upoteze 100k, pia unaingia risk ya kupoteza 200k yote sababu anaweza kuihamisha muda huo huo, kwa ajili ya kukwepa kuulizwa namba yangu umeitoa wapi? ok, tu assume umefanikiwa kama ulivyosema anaweza akakukataa na akakupiga block na tayari umepoteza 100k.
Mkuu hapo baada ya miezi mitatu mtaji utakua kuku watakua almost 200,means kwa mwaka utakua na kuku 800 ambao ukiwauza kwa bei ya 6000 kila mmoja,hapa tunaongelea 6000x800 nadhanoi jibu unaloHa ha ha biashara za insta
Mkuu ata 1k inatosha kwa usawa huu,unampa iyo 1k akatoe sadaka kanisaniEeeh labda useme hapa kidogooo...!! [emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna cha level.. 5k tu inatosha
Hao wanaume walikuwepo enzi za jk wachache walobaki, wakafa MV ukara mwaka juzi, wachache sana walobaki, wakafa kwenye kuchomoa betri morogoro( hawa wachache wa Moro walikuwa hawachoti mafuta[emoji51] wao walikuwa pembeni wanasikitika yakawakuta) waduchu saaaaana walobaki aiseee sijuhi wako mkoa gani hapa tz? Labda nchi nyingine[emoji54][emoji5]
Long live jk.
Yani lazima akuchek walahi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usawa mgumu sanaa...Mkuu ata 1k inatosha kwa usawa huu,unampa iyo 1k akatoe sadaka kanisani
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo
Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
Kiduku liko hana hata mia GX 110 yake ipo juu ya mawe..hahahaWanaume hawa watume hivyo walivyo bahili na wachoyo hawawezi kukusikiliza labda @kidukulilo ndio anaweza [emoji6][emoji6][emoji6][emoji23]
Haya mkuu mpeni Mungu yaliyo yake Mungu na mpeni kiduku lilo yaliyo yake kiduku liloAll factors remain constant
Hivi SunVita bado ipo? Ile ya Orange hadi leo nakumbuka ladha yake
Bei elekezi ni 7800 mkuuHaya. 5k bei elekezi kuanzia leo
Bana weee nimeku-pm namba yangu; nitumie basi hiyo 200k; won't bother to ask where you got my digits. Thanks in advanceHeaven Sent huyu dada yako?
Acha kukariri,huo ndo ukweli,kifaranga kimoja ni 1500 wale kuku machotara,ukiwafuga ndani ya miez Mitano kila mmoja unakula mpka 20000,Nenda pale Igunga pale uulizie Jimmy the Endless uone tunavyo lisongesha.Ha ha ha biashara za insta
Haya ni mawazo yangu mkuu sio lazima nikubaliane na wewe. I'm not interested.Acha kukariri,huo ndo ukweli,kifaranga kimoja ni 1500 wale kuku machotara,ukiwafuga ndani ya miez Mitano kila mmoja unakula mpka 20000,Nenda pale Igunga pale uulizie Jimmy the Endless uone tunavyo lisongesha.