Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

I know. All am saying is don't let her think money is not a problem to you even if it is truly not. Hio itakutesa kwa sababu anakuwa na mentality ya kwamba kila akihitaji pesa basi utampa - Rather look for a convenient way to initiate a relationship! Pesa ni muhimu kwenye mahusiano ila zije baadae.
Hizi ni hekaya za abunuwasi.

Ila ukiingia field pesa ipo mbele sana.

Hawa righteous women tunawasikia tu lakini hatukutani nao field.
 
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo

Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu

Kweli msiojua kutongoza mna kazi! Hiyo yote papuchi
 
Hilo swali majibu yake ni rahisi sana! Kuwa mkweli inatosha!

Binafsi hilo swali siliulizagi, ila kama akiamua kusema mwenyewe aseme tuu!
Ukiwa mkweli unapigwa blue tick, kimya. Hujaweka impression yoyote kwenye kichwa chake.

Hii technique inasaidia kuweka good first impression. And first impression matters.

Kama utairudisha hela yote kwangu au utaniambia nirudishe muamala mwenyewe I might simply do it and stop pursuing you kwasababu haufit the behavioral modal ya mwanamke niliyoizoea so nitapata shida kuanza kukuelewa.
 
Mimi napenda hela ila siku zote niko na hofu na namba mpya. Kanuni yangu sina chumba kwa ajili ya watu wapya waliopotea waendako kupitia simu. Dunia ina mengi sana.
Ila mtu akikuambia namba yako amezawadiwa na Voda kwasababu anatumia huduma zao kwa muda mrefu utamuelewa na kumpa chumba?
 
Kwa hyo nimuachie laki bure tu
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo

Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
 
Ukiwa mkweli unapigwa blue tick, kimya. Hujaweka impression yoyote kwenye kichwa chake.

Hii technique inasaidia kuweka good first impression. And first impression matters.

Kama utairudisha hela yote kwangu au utaniambia nirudishe muamala mwenyewe I might simply do it and stop pursuing you kwasababu haufit the behavioral modal ya mwanamke niliyoizoea so nitapata shida kuanza kukuelewa.
Sawa Mkuu!
 
Wanaume hawa watume hivyo walivyo bahili na wachoyo hawawezi kukusikiliza labda @kidukulilo ndio anaweza
 
Hizi ni hekaya za abunuwasi.

Ila ukiingia field pesa ipo mbele sana.

Hawa righteous women tunawasikia tu lakini hatukutani nao field.
Naelewa. Hela ni muhimu kwenye mahusiano lakini usiitangulize - isiwe kama ndio nguzo ya mapenzi ndugu. Lakini pia usifanye mahusiano bila kuwa na pesa kwa sababu itakutesa pia!!
 
Back
Top Bottom