rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,068
- 25,737
Kwq sababu umerudi mara ya pili unatakiwa uwe umefanya research ya kutosha.
Kwanza angalia wanaokuzunguka wanachaji bei gani hata kama mama ntilie kisha wewe weka bei ambayo mtu ataona kuliko kulia chakula kwenye benchi bora aje mgahawqni ale kwa heshima.
Ajili wapisho bora wanaojua kupila ikiwekana mmoja awe ametoka chuon8 kabisa, ukipika vizuri wateja ndio watakutangaza.
Customer care sio mteja anaingia anakaa muda mrefu hajasikilizwa pia wateja ni sawa, kuna wengine kutokana na nature ya kazi zao wako rough sasa watumishi wako wakianza kuhudumia wateja kwa mwonwko wao utapoteza pakubwa.
Ofa ya vitu vidogo nunua maji madogo yale ya mia tatu wape bure wateja au matunda ukifanya hivyo baadae faida utapata kubwa wakitaka ya kunujia uza kuanzia lita moja.
Kwanza angalia wanaokuzunguka wanachaji bei gani hata kama mama ntilie kisha wewe weka bei ambayo mtu ataona kuliko kulia chakula kwenye benchi bora aje mgahawqni ale kwa heshima.
Ajili wapisho bora wanaojua kupila ikiwekana mmoja awe ametoka chuon8 kabisa, ukipika vizuri wateja ndio watakutangaza.
Customer care sio mteja anaingia anakaa muda mrefu hajasikilizwa pia wateja ni sawa, kuna wengine kutokana na nature ya kazi zao wako rough sasa watumishi wako wakianza kuhudumia wateja kwa mwonwko wao utapoteza pakubwa.
Ofa ya vitu vidogo nunua maji madogo yale ya mia tatu wape bure wateja au matunda ukifanya hivyo baadae faida utapata kubwa wakitaka ya kunujia uza kuanzia lita moja.