Dawa ya kuondoa ndevu (Hair removal)

Dawa ya kuondoa ndevu (Hair removal)

Kama unataka kuondoa ndevu temporary bila kunyoa zipo cream za kuondoa unapaka baada ya muda ndevu zinatoka kinabaki kipara pia magic shaving powder hii hakuna kinyozi asiyeijua!
Kama unataka kuondoa ndevu permanently njia pekee "laser hair removal" andika hayo maneno AliExpress utaona utaagiza.
Magic Powder nilitumia, ilinichoma ngozi au niseme ni allergy, nikaiacha. Jamaa mmoja ndiyo akanielekeza hiyo cream "Nair". Nimeitumia sana iko fresh ila kwa sasa naitafuta maduka mengi nmeikosa.
 
Magic Powder nilitumia, ilinichoma ngozi au niseme ni allergy, nikaiacha. Jamaa mmoja ndiyo akanielekeza hiyo cream "Nair". Nimeitumia sana iko fresh ila kwa sasa naitafuta maduka mengi nmeikosa.
Sasa unahitaji temporary au permanent hair removal?
 
Temporary removal.
Screenshot_20250906-095059.png

Ulizia hiyo hapo blue valley hair removal cream haigiki hata 5000 kwenye maduka ya vipodozi ukikosa mtaa nenda karia koo mitaa ya msimbazi au mchikichi hukosi hata kwa rejareja wanauza ukiona na hiyo imekudhuru unachotakiwa kufuga ndevu na utakuwa unafanya trimming tu tofauti na hapo sina ushauri mwingine
 
Msimlaumu mtoa mada unyoaji wa ndevu una complications nyingi mimi nikinyoa ndevu sharti kuu sipaki dawa yoyote baada ya kunyoa labda mafuta tu .
 
Shida nikinyoa saluni natoka upele, baada vinakuwa vidonda. Ndo maana natafuta hii dawa
Nunua mashine yako mwenyewe mkuu, shaving cream na powder uwe unajinyoa mwenyewe,niliona oraimo wana mashine nzuri sana za kunyolea na ni bei chee sana na ni rechargeable.
 
View attachment 3466440
Ulizia hiyo hapo blue valley hair removal cream haigiki hata 5000 kwenye maduka ya vipodozi ukikosa mtaa nenda karia koo mitaa ya msimbazi au mchikichi hukosi hata kwa rejareja wanauza ukiona na hiyo imekudhuru unachotakiwa kufuga ndevu na utakuwa unafanya trimming tu tofauti na hapo sina ushauri mwingine
Hii niliiona duka moja ila sikuizingatia sana japo jamaa mwenye duka alishauri. Shukrani kwa mapendekezo, nitairudia nikaichukue.
 
Nunua mashine yako mwenyewe mkuu, shaving cream na powder uwe unajinyoa mwenyewe,niliona oraimo wana mashine nzuri sana za kunyolea na ni bei chee sana na ni rechargeable.
Poa mkuu. Nimepitia haraka haraka mtandaoni naona smart shaver 2 iko poa. Nitaiongeza na hiyo
 
Msimlaumu mtoa mada unyoaji wa ndevu una complications nyingi mimi nikinyoa ndevu sharti kuu sipaki dawa yoyote baada ya kunyoa labda mafuta tu .
Kwako iko vyema. Kwangu nikinyoa basi nikipulizia perfume angalau inasaidia kidogo. Tofauti na hapo ni majanga tu.
 
Mkuu usinyoe ndevu si unaona maoni ya pisi Kali za jf!!
 
Hiyo Shoppers na Jambo supermarkerts inapatikana kwa urahisi tu
 
Back
Top Bottom