Dawa ya kuondoa ndevu (Hair removal)

Dawa ya kuondoa ndevu (Hair removal)

Extroverted Introvert

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2022
Posts
859
Reaction score
2,118
Nahitaji hii dawa kwa kuondolea ndevu (Nair Hair Removal). Nimeitafuta kwenye maduka mengi sana ila nimeikosa. Mara ya mwisho niliipata supermarket moja ila kwa sasa nimerudi kuinunua sijaikuta. Nimepita supermarket za posta, napo huko nimeikosa. Kariakoo kwenye maduka makubwa na madogo ya vipodozi, nimeikosa pia.

Mwenye kufahamu naweza kuipata wapi, anisaidie. Ikishindikana kabisa basi naomba kujuzwa dawa ya kunyolea ndevu ambayo inazuia upele na uweusi.
Screenshot_20250904_164426_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
 
Mkuu, mara ya mwisho haikufanya kazi?
 
Kama unataka kuondoa ndevu temporary bila kunyoa zipo cream za kuondoa unapaka baada ya muda ndevu zinatoka kinabaki kipara pia magic shaving powder hii hakuna kinyozi asiyeijua!
Kama unataka kuondoa ndevu permanently njia pekee "laser hair removal" andika hayo maneno AliExpress utaona utaagiza.
 
Hivi ndevu zinatokaje wakati zinasababishwa na hormone ya testesterone?au ni temporary removal?
 
Back
Top Bottom