Dawa au chakula ipi ambayo inaleta nyege

Dawa au chakula ipi ambayo inaleta nyege

duh....amwache yeye aoe mwingine??!!!
yes, kama akiniona hata asisimki sasa kwa nini tuendelee kuwa pamoja?
huoni na huyu dada pia anateseka mpaka anakuja kuomba ushauri?
Narudia tena, kama mumewe ana matatizo ya kiafya basi awasiliane na wataalamu au apeleke uzi kule JF doctors ili apate ushauri unaohusu matatizo ya afya, lakini kama hana shida ya kiafya nini kinasababisha asiwe na ny**e anapokuwa na mkewe?
hii naichukulia kuwa ni ya muda mrefu ndo maana amekuja kuiombea ushauri
 
yes, kama akiniona hata asisimki sasa kwa nini tuendelee kuwa pamoja?
huoni na huyu dada pia anateseka mpaka anakuja kuomba ushauri?
Narudia tena, kama mumewe ana matatizo ya kiafya basi awasiliane na wataalamu au apeleke uzi kule JF doctors ili apate ushauri unaohusu matatizo ya afya, lakini kama hana shida ya kiafya nini kinasababisha asiwe na ny**e anapokuwa na mkewe?
hii naichukulia kuwa ni ya muda mrefu ndo maana amekuja kuiombea ushauri

OK...kwahio hii ingetokea kwako ungeomba talaka?[suppose hana matatizo]
 
Nguvu za kiume ni tatizo kweli kwenye jamii me Nilijua ni matangazo tu yamejaa bila wateja kupatikana
 
ha haaa, umeona eeehhh!
haya mambo ya kuleta nyuzi zenye maelezo nusu nusu unaishiwa kupata ushauri kama wa kwa mganga wa kienyeji. angesema kuwa mumewe ana matatizo ya afya. mimi siyo mwanaume, lakini najua kwa maelezo ya wanaume kuwa akiwa na mwanamke ambaye hamvutii anapata shida sana kusimamisha antena

...ila elewa baadhi ya wanaume wakiwa na nyege huwa hawachagui pa kumwaga....akimaliza ndo anagutuka na wengine huishia kuwafukuza mapema kabla hakujapambazuka....
 
hiyo hali inatokea baada
ya bao la kwanza?if yes nikawaida tu, wanaume wengi huchukua kati ya dk
20-40 na wengine hadi dakika 60, ili mashine iwe tayari kwa bao la pili
and especially km wanatumia condom (inategemea pia na mood ya siku
hiyo)!! kwa ushauri zaidi wa kitaalam, ni PM maelezo kamili ili nipate
kukushauri vzr.

Sium PM wewe!!??
 
OK...kwahio hii ingetokea kwako ungeomba talaka?[suppose hana matatizo]
hivi kweli kuna haja ya kuishi na mtu ambaye havutiwi na wewe?
yaani inapita miaka, hana tatizo lolote kiafya, tunalala tunaamka hata haoni kama ana mwanamke kwenye kitanda chake halafu unalazimisha tu kubaki?
labda kama unafuata kitu kingine na siyo ndoa, but kama unafuata ndoa na ndoa hakuna unafanyaje?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nauliza ni dawa ipi nitakayompa mume wangu au chakula kipi nimpe ili apate nyege za haraka.awe fit kitandani

kumbe na wewe unamume anakupumulia kisogoni?
 
Kwahiyo ndounavyo mfanyiaga wakwako?
Anakutafuna marangapi baada ya dose?

Mmmh sie hufanya kwa afya mara 4 au mara 3,yaan usiku mara mbil na mara moja asubuh cha kuamkia,ukiinizidishia unakuwa umenioverdose
 
Msisitize anywe Valuu au Kiloba kabla ya gemu
 
Maelezo ya kina yanahitajika hapa, je ni ya kupepea? Au umri wake ni miaka mingapi? Si vibaya ukitueleza na medical back ground yake labda ana maradhi yanamsumbuwa.

Mimi binafsi nyege zangu zina ushirikiano mkubwa sana na wallet, kama wallet liko chali hiyo papuchi sina hata hamu ya kuiona.

Hahahaa haaaa uwiii jamani
 
Back
Top Bottom