Dawa au chakula ipi ambayo inaleta nyege

Dawa au chakula ipi ambayo inaleta nyege

asitumie pombe wala sigara wala kahawa wala chai
mpatie tangawizi kwa wingi,mpatie mdalasini uliochanganywa na asali.
Apate muda mwingi wa kupumzika.nusu saa kabla ya mechi anywe yai bichi(kuku wa kienyeji) mix na asali.
Kama kuna uwezekano asitumie vyakula vilivyokobolewa mfano.sembe.
 
Tafuta dawa inaitwa ''farasi wa kongo,kiboko ya lubumbashi''
 
Nauliza ni dawa ipi nitakayompa mume wangu au chakula kipi nimpe ili apate nyege za haraka.awe fit kitandani
mhhh! unataka kumtia nyege mumeo angalia usije zidisha dozi akaanza kutangatanga
 
Mmmh sie hufanya kwa afya mara 4 au mara 3,yaan usiku mara mbil na mara moja asubuh cha kuamkia,ukiinizidishia unakuwa umenioverdose
Hiyo ya asubuhi iko poa sn, ila kuna hatari ya kuchelewa kazin maana inachelewaga kweli kweli
 
mlishe vyakula vya asili, mazoezi na aache vyakula vya kisasa na supermarket. mdau mmoja amesema ufuate kanuni nane za afya yaan; NEWSTART(MWANZOMPYA)
 
Back
Top Bottom