David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

Nyie watu achaumbulula Serikari ni mali ya watu, watu sio misukule ya Serikali, hawawezi kuibia taifa eti nyie mnatetea ujinga na ufisadi??
Nawashangaa mlivyo jazana kutetea majizi!!
Nyie WaTZ au majambazi oneni aibu basi, taifa linazama kwa wizi!!
 
Watanzania tuache upunguani,hivi hapa tunatetea nini?inashangaza kuona watz wamekomaa kutetea wezi,mfano mwepesi ni kuwa umewahi kuona tu wafanyabiashara wakikamatwa wamekwepa kodi wanavyopelekeshwa puta?huyu singa imethibitika amekwepa kodi,nin kinaendelea?shwain
 
Kafulila wee yupo vizuri.....ila huyu jamaa cjackia jimboni kwake kafanya nin cha maana zaid ya domo.......(samahani lakini walioko jimboni kwake wanadai wamemweleza mengi ila mmmh yote kapuni...huyu jamaa ni kibaraka wa tajiri flani hivi huwa akienda bungeni anaenda other pipoz viewz sio za maslah ya wananchi

Ngoja arudi kwa waha akawaombe kura watamuuliza je, walimtuma kuwatatulia kero zao wilayani au kupambana na singasinga ili kumsaidia tajiri mmoja wa kaskazini!!? (jina kapuni) maana hajapeleka maendeleo kwao.
 
Watanzania hamnazo ndio maana m rombo alisema hata mle nyasi radar itanunuliwa. ...sasa hivi hata mpige kelele fedha wanabeba kwenye viroba

Watanzsnia akili kama za Makondooo
 
Huyu dogo inavyoonyesha anakoendea ni chuki binafsi na singasinga. Inaelekea alitaka fungu fulani akanyimwa. Yaani "Lazy people discus people, hard workers discuss issues".

Kwa hiyo hapo ndiyo umejitahidi kwelkwel kufikiri! Na bahati mbaya upeo wako wa kufikiri umeishia hapo.
 
Usilete mashairi yako hapa na kuanza kutengeneza ulaini wa lugha si ungekua na PhD ya lugha basi au ungekuwa BAKITA, Uko mfukoni mwa Singasinga wewe tulia nani kakuambia ni nahau eti unafanya harakati za kujitoa kaa humohumo wasio elewa kama wewe ndo wamewekwa kwenye huo mfukonwa bepari mie simo uko wewe na familia yako, mnatukanwa afu mnashangilia as if your Zuzuzzzzz!

Kama kuna watu ni wap.umbavu duniani wewe unaweza kuwa wakwanza wao. Yani huoni kama unaibiwa!?
 
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.

"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "
nchi inaongozwa na mswahili!
 
Huyo alikua anaendesha uvuvi haramu mto Malagarasi kabla ya kuwa mbunge ndo maana bado akili yake inachembechembe za baruti!afu alibeba sana magunia ya chumvi pale uvinza afu hela akawa anapeleka kwa michepuko!

Wewe vipi umeacha kubeba mabox?
 
Naona leo zamu yako ya kukesha,wenzio tupo tunasubiria kulipokea basi jipya la kinana tupo hapa Q bar tunakula nchi wewe upo unagombana na mbu hapo lumumba!

Ccm ina wenyewe, ila kwa kipindi kama hiki hata mlevi wa mitaputapu anasikilizwa na ccm.
 
Ccm ina wenyewe, ila kwa kipindi kama hiki hata mlevi wa mitaputapu anasikilizwa na ccm.

Nikweli mkuu ila hawa wote walioingia kwa speed ya matusi wengi wao wanaishia kupigwa ban,yaani mtu anapost mambo utadhani ana ugomvi na mchangiaji.
 
Back
Top Bottom