Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Watu kama hao inabidi tuwasamehe bure. LABDA AMEONA THE ONLY WAY KUJENGA UMAARUFU JF NI KUJITAHIDI KWA KILA NAMNA KUWA MPUMBAVU.
Umaarufu unajengwa siku zote na mtu makini mwenye matendo na maneno yanayoheshimu wengine na ambaye yuko tayari kutoa msaada kwa wengine, sasa nyie ametokea Mtu mmoja akawadharau wote bila kuchagua, nchi nzima eti mmewekwa mfukoni mwa Singasinga afu na nyie kwa kupigwa upofu mnashangilia!!Ingekua enzi za baba wa taifa mgehamishwa East Africa mkaenda kuishi Libya!