Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,737
:msela::msela::msela::msela::msela::msela:IMEWEKWA YA KWAKE NA FAMILIA YAKE KWENYE HUO MFUKO WA SINGASINGA
You are among the lost sperm on this earth.
:msela::msela::msela::msela::msela::msela:IMEWEKWA YA KWAKE NA FAMILIA YAKE KWENYE HUO MFUKO WA SINGASINGA
You are among the lost sperm on this earth.
Serekali ya jk ndio inaongoza kwa kuibiwa pesa nyingi sana
Kafulila alistahili ile tuzo tatizo huwa akichangia muda unaisha haraka sana
Dogo kazoea kutukana ndo maana mafanikio yake ni kidogo sana anatakiwa kuombewa huyu ili apate kibari cha kusikilizwa!
Bangi zinakusumbua ,tukana utamaliza yote ukiwa ndani ya mfuko wa Singasinga, na hata sijui unawezaje kutukana kama umewekwa kwenye kiroba!
Kuna wakati dkt slaa alipiga kelele na kuwataja mafisadi kwa majina. Nikamsikiliza mwenyewe kwenye viwanja vya nmc arusha akiwataja mafisadi 11, bila shaka alifanya hivyo sehemu mbalimbali kwenye mikutano ya hadhara. Alikuwa na nyaraka kibao mkonon za ufisadi. Akitaja deep green, kagoda,meremeta, n.k. wakati huo waziri wa hazina mama meghji akionekana kusign nyaraka hizo na katibu mkuu wa hazina grey mgonja na gavana daud balali. Licha ya grey mgonja kutishia kumshtaki slaa lakini hakufanya hivyo. Wabongo tukaendelea na maisha na hayo yakawa hadithi ya sungura na fisi. Business as usual. Hivi watz ni nani aliyetuloga?? Kuna wakati ktk historia ya biblia waisraeli walipata taabu sana kule misri kwa kuwa hawakuwa na kiongozi wa kuwatetea. Mungu akamwinua musa baada ya kilio chao. Watz tunahitaji mungu atuinulie musa wa kutuokoa dhidi ya magamba. Amen.
Yaani we jamaa UNA MACHO LKN HUONI!!!
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.
"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "
Hujui hata kuwekwa mfukoni ni nahau....ambayo ina maana na kubeba umbuji ndani yake. Wewe umeichukulia kama ilivyo yaani wewe ni mjingaaaaaaaaaaa......hata unachotetea hukijui nyambaaaafuuuu...Hujishangai humu jamvini wwe tu ndo unatetea ujinga.
kamtukana nani hapo zaidi ya kusema ukweli?hivi na wewe bado unadhani watanzania ni mambulula ya miaka hiyo?nani asiyejua baba zenu ndiyo wezi wakubwa wa nchi hii?
kamtukana nani hapo zaidi ya kusema ukweli?hivi na wewe bado unadhani watanzania ni mambulula ya miaka hiyo?nani asiyejua baba zenu ndiyo wezi wakubwa wa nchi hii?
Yaani katika watu ambao nAshindwa kuwaelewa kabisa ni huyo kinjeketile jnr naonekana yuko very proud to be mpumbavu, hakuna hata mara 1 ambapo amechangia kama mwenye akili timamu
ha h ha ha KAFULILA KAFULILA Nchi imewekwa mfukoni? Hii kauli inauma sana kwa shida tulizonazo baadhi ya Wtanzania sisi hasira zetu wataziona kwenye sanduku la kupigia kura
Hawa jamaa wa magamba kazi yao kubwa ni kupiga dili tu, hivi mtu kama singasinga analipwa shilingi bilioni 5 kwa mwezi kama capacity charge, ikiwa na maana hata mwezi ambao singasinga huyo hawauzii TANESCO hata uniti 1, bado singasinga huyo mwisho wa mwezi anakinga bilioni 5 za chee!
Kweli nchi hii watawala wetu wameigeuza shamba la bibi na ndiyo maana makada wao kwa idadi kubwa kabisa, ambao wengine wao hawana hata uwezo wa kuongoza kata zao, lakini hivi sasa ndiyo wanapanga foleni ndefu kabisa pale Dodoma za kuchukua fomu za kutaka kupeperusha bendera ya chama chao kwa ajili ya nafasi ya Urais!